Mohamed Ismail
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 228
- 249
- Thread starter
- #21
Watanzania bana yaani kote umeona hilo[emoji23][emoji23][emoji23]Mi nimeishia hapo 'Darala'.. huku kwengine nimekuachia wewe
Watanzania bana yaani kote umeona hilo[emoji23][emoji23][emoji23]Mi nimeishia hapo 'Darala'.. huku kwengine nimekuachia wewe
Hiyo sawa lakini kipindi kile lilikuwa ni suala la kifamilia hata wazee wanaguswa sasahivi ni lazima usome tu shule za kata na wanafaulu hata aina yao ya mitihani ni rahisi. Hesabu ni multiple choice
Sijazungumzia suala la kutoboa maisha kuna ambao hata darasa la kwanza hawajaligusa wametoboa maisha kuliko hata ambaye ni profesa. Nazungumzia zile hisia za kupokea matokeo not otherwise. Ila hongera kwa kutoboa.Ata sisi tumesoma Rutabo ila tumetobowa kuliko ata waliosoma Tabora Boys. Rutabo sec hapa darasa la 2003- 2006
Ulikuwa utaki kuchaguliwa Rutabo kisa wanaochaguliwa Rutabo ni viraza au? Anyway umesoma primary gani? ?Sijazungumzia suala la kutoboa maisha kuna ambao hata darasa la kwanza hawajaligusa wametoboa maisha kuliko hata ambaye ni profesa. Nazungumzia zile hisia za kupokea matokeo not otherwise. Ila hongera kwa kutoboa.
Kamachumu A malengo yangu hayakuwa kusomea hapohapo nyumbani nilitaka nikasome shule za mbali na ilitimia.Ulikuwa utaki kuchaguliwa Rutabo kisa wanaochaguliwa Rutabo ni viraza au? Anyway umesoma primary gani? ?
Kamachumu A malengo yangu hayakuwa kusomea hapohapo nyumbani nilitaka nikasome shule za mbali na ilitimia.
Ata sisi tumesoma Rutabo ila tumetobowa kuliko ata waliosoma Tabora Boys. Rutabo sec hapa darasa la 2003- 2006
Ninaishi na jamii siishi porini na nimekuwa mwalimu so ninaelewa hicho kitu.Matokeo yanamsisimko kwawanaowahusu Sasa wewe yatakusisimua nini wakati huna hata mtoto wala rafiki aliyemaliza darasa lasaba?
Amini nachokwambia mkuu, Jana kuna mzazi kanifata mzobemzobe nimchekie matokeo yamtoto wake nandio nikajua kama yametoka. Nahuyu mzazi alikuwa nahisia kwasababu anamtoto ambaye kamaliza hilo darasa naangekuwa hana mtoto aliyemaliza hilo darasa sidhani kama angekuwa hata na taarifa kama kuna matokeo yametokaNinaishi na jamii siishi porini na nimekuwa mwalimu so ninaelewa hicho kitu.
Hahaaaa imebidi nicheke eti mzobemzobe[emoji23][emoji23][emoji23]Amini nachokwambia mkuu, Jana kuna mzazi kanifata mzobemzobe nimchekie matokeo yamtoto wake nandio nikajua kama yametoka. Nahuyu mzazi alikuwa nahisia kwasababu anamtoto ambaye kamaliza hilo darasa naangekuwa hana mtoto aliyemaliza hilo darasa sidhani kama angekuwa hata na taarifa kama kuna matokeo yametoka
Salamu mtazipata majumbani kwenu mnataka msalimiwe na huku jamii forum[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muwe mnasalimia wakubwa zenu humu vijana LY 2004
Hizo story ni ndefu mnoo siwezi soma.. maoni yangu ni hapo hapo tuWatanzania bana yaani kote umeona hilo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] me nimemaliza shule yamsingi kipindi ambacho wanafunzi darasa Zima wanafaulu au hata wakifeli basi hawafiki 10Hahaaaa imebidi nicheke eti mzobemzobe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sawa na mimi ndio ninachokisema sisi kupindi kile kuna shule hachaguliwi hata mmoja kwenda sekondari. Ila sasa hivi shule kibao ndio maana hata ile pressure ya matokeo siyo kubwa kama zamani. Inaweza kuwepo lakini ni kwa asilimia chache ya wazazi[emoji3] [emoji3] [emoji3] me nimemaliza shule yamsingi kipindi ambacho wanafunzi darasa Zima wanafaulu au hata wakifeli basi hawafiki 10
Sikupingi ndugu yangu nakumbuka broo wangu kwenye darasa Lao lawanafunzi 200 walifaulu wawili2. So kwasasa hakuna maajabu yamatokeo yadarasa lasaba