Matokeo ya utafiti kutoka Ubongo Plaza; CHADEMA kushinda Kinondoni kwa 54.8%, CCM 45.2%. Jimbo la Siha CCM kushinda

Matokeo ya utafiti unaoendelea kusomwa muda huu na taasisi ya EARC (East Africa Research Center) imeonyesha Mgombea wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo katika jimbo la Kinondoni Ndg. Salum Mwalimu iwapo uchaguzi utafanyika leo ataibuka mshindi kwa asilimia 54.8%, Huku mgombea wa CCM Ndg. Said Mtulia akiambulia asilimia 45 za kura zote..

Kutokana na taasisi hiyo ambayo imefanya hojaji kwa watu 800, imeonekana idadi ya wapiga kura itashuka kutoka 83.6% (2015) mpaka asilimia 62.4%

Ndugu Paulo ambaye ni mtafiti mwandamizi kasema matokeo pia yanaonyesha kwa upande wa Siha mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia 60~65 kwa makadirio ya juu na chini...

"Wananchi wengi wa Kinondoni hasa wamama, vijana na wazee wa hali ya kawaida wengi wao waliohojiwa walionyesha kukerwa kwao na Mtulia kuachia nafasi ambayo alikuwa nayo awali, kisha anagombea tena" sehemu ya tafiti huo unaeleza
Zidumu fikra za mpagan
Cs
CCM KINONDONI/SIHA
CCN SIA
 
Wao wasema, kwa hali ilivyo SALUMU MWALIMU 75%, MTULIA 15 NA CUF 10% wengine woote 0%..

Ila hapo bado hatujahesabu ghost voters, ukiweka ghost voters MTULIA 70%, SALUM 20%, CUF 5% na wengine watagawana hizo 5%.. Baada ya hapo kitakachofuata kila mtu anajua...
Safari hii ujinga wa kuiba kura hautapata upenyo wowote .
 
Hata Dkt Slaa kwenye 'Utafiti' humu JF alikula 70% ya kura zote lakin Matokeo kutoka 2010 akaota kuna Kontena la kura feki limetoka China na kushushiwa Tunduma sio Dar!
 
"It's chadema's NGO. Zitto was once a Director"
Professor Kitila Mkumbo 25th September 2015

Tusubiri tuone
Hii ndio shida ya bongo kwahiyo ukifanya utafiti wako mwenyewe utajidanganya kwa faida ya nani sasa??? Kila chama kina ruhusa kufanya tafiti sasa kikipata matokeo yake kutokana na utafiti wao ina maana haiwi utafiti?? Ni vzuri ungeupata huo utafiti ili ukague sample zao wamezipataje na inclusiveness ilikuaje ili kujua kma utafiti una credibility lakini hoja ya kusema hiyo taasisi ni ya CHADEMA sioni kma ina mashiko

Nakumbuka hyo taasisi mwaka 2015 ilisema lowassa ana nguvu kuliko slaa hapo hata kabla ya kura za maoni Ccm Kuanza sasa kma iliwahi kumuweka mgombea wa ccm mbele ya wa chadema kwanni sasa inapoweka matokeo yakionyesha mgombea wake yuko mbele inageuka kuwa biased!!!

Sidhani unatendea haki huu utafiti
 
Hata Dkt Slaa kwenye 'Utafiti' humu JF alikula 70% ya kura zote lakin Matokeo kutoka 2010 akaota kuna Kontena la kura deki limetoka China na kushushiwa Tunduma sio Dar!
Liko wazi kabisa slaa alimuangusha kikwete 47% za slaa kulinganisha na kikwete 44% ..... Kma upo CCM na haulifahamu hili basi naweza elewa kwanni miaka 50 bado tupo maskini
 
Chadema wanahangaika sana na kinondoni
Kushindwa kwa chadema kinondoni kutakua ni aibu kubwa sana kwa mbowe na kamati kuu yake baada ya kukurupuka na kuteua mgombea ambae si mkaazi wala mpiga kura wa kinondoni
Mpaka sasa chadema imejihakikishia kwa 100%,itakosa kura moja ya mgombea wake!
Endeleeni tu kuyaandaa kisaikolojia makarai,ili mtakaposhindwa ionekane mmeibiwa kura
Tuwe wa kweli tu nipe sababu moja kwanni wananchi wamchague Mtulia?? Yaani anaahidi makubwa kwamba atafanya ndani ya miaka 2 iliobaki ilihali aliyoahidi 2015 mpaka ssa hata moja hajatimiza hivi watakaompigia kura watakuwa na sababu gani tukiachana na wale CCM kindaki ndaki walio wachache ambao kwao chama kwanza taifa baadae!!

2. Nipe sababu moja kwanni wairudishe ccm kinondoni?? Je yale yaliofanya ccm ikataliwe 2015 kinondoni yameshughulikiwa mpaka wawarudishe??

CCM inaahidi makubwa kinondoni ila nachojiuliza kma mlishindwa kuyafanya kwa miaka 20 ya vyama vingi kivipi mtaweza ndani ya miaka 2 na ushee iliobaki??

Na kma ikitokea wananchi wa kinondoni wakaichagua CCM basi tuseme Tanzania ndio nchi yenye wananchi wajinga wenye IQ ndogo na wanafiki kuliko nchi yeyote ile duniani
 
Liko wazi kabisa slaa alimuangusha kikwete 47% za slaa kulinganisha na kikwete 44% ..... Kma upo CCM na haulifahamu hili basi naweza elewa kwanni miaka 50 bado tupo maskini

Unaruhusiwa kuamini propaganda Ila huruhusiwi kulazimisha hizo propaganda zako wengine waziamini kwa kuwa Wewe umeamini bila ya kuweka ushahidi reliable
 
Matokeo ya utafiti unaoendelea kusomwa muda huu na taasisi ya EARC (East Africa Research Center) imeonyesha Mgombea wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo katika jimbo la Kinondoni Ndg. Salum Mwalimu iwapo uchaguzi utafanyika leo ataibuka mshindi kwa asilimia 54.8%, Huku mgombea wa CCM Ndg. Said Mtulia akiambulia asilimia 45 za kura zote..

Kutokana na taasisi hiyo ambayo imefanya hojaji kwa watu 800, imeonekana idadi ya wapiga kura itashuka kutoka 83.6% (2015) mpaka asilimia 62.4%

Ndugu Paulo ambaye ni mtafiti mwandamizi kasema matokeo pia yanaonyesha kwa upande wa Siha mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia 60~65 kwa makadirio ya juu na chini...

"Wananchi wengi wa Kinondoni hasa wamama, vijana na wazee wa hali ya kawaida wengi wao waliohojiwa walionyesha kukerwa kwao na Mtulia kuachia nafasi ambayo alikuwa nayo awali, kisha anagombea tena" sehemu ya tafiti huo unaeleza


Ndio utafiti wa UCHAFUZI utavyokuwa huo ??
 
Unaruhusiwa kuamini propaganda Ila huruhusiwi kulazimisha hizo propaganda zako wengine waziamini kwa kuwa Wewe umeamini bila ya kuweka ushahidi reliable


Kwani lini ulifanyika UCHAGUZI TZ,

Tanzania hakujafanyika uchaguzi kunafanyika UCHAFUZI.
 
Matokeo ya utafiti unaoendelea kusomwa muda huu na taasisi ya EARC (East Africa Research Center) imeonyesha Mgombea wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo katika jimbo la Kinondoni Ndg. Salum Mwalimu iwapo uchaguzi utafanyika leo ataibuka mshindi kwa asilimia 54.8%, Huku mgombea wa CCM Ndg. Said Mtulia akiambulia asilimia 45 za kura zote..

Kutokana na taasisi hiyo ambayo imefanya hojaji kwa watu 800, imeonekana idadi ya wapiga kura itashuka kutoka 83.6% (2015) mpaka asilimia 62.4%

Ndugu Paulo ambaye ni mtafiti mwandamizi kasema matokeo pia yanaonyesha kwa upande wa Siha mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia 60~65 kwa makadirio ya juu na chini...

"Wananchi wengi wa Kinondoni hasa wamama, vijana na wazee wa hali ya kawaida wengi wao waliohojiwa walionyesha kukerwa kwao na Mtulia kuachia nafasi ambayo alikuwa nayo awali, kisha anagombea tena" sehemu ya tafiti huo unaeleza

Huu utafiti wenu bora hata msingeutoa kwani sasa ndiyo utahatarisha amani na kuharibu kila kitu hasa hiyo siku ya tarehe 17 February 2018. Hivi kwa Viongozi wake Wakuu tena wazito kabisa kwa jinsi walivyojitokeza vile na wanavyoendelea Kujitokeza kumpigia Kampeni / Kumnadi Mgombea mmoja halafu leo unawaambia kuwa wataanguka si ni kutaka kuwafanya wayafanye hata mengine ambayo labda hayatampendeza Maulana?
 
Back
Top Bottom