Matokeo ya Physics kitaifa sio mazuri,kwa nini?

Matokeo ya Physics kitaifa sio mazuri,kwa nini?

Hakuna uwekezaji wa maana sana katika masomo ya sayansi hapa nchini!Kwa mtazamo wangu sayansi inahitaji vitu vingi sana kwaajili na ni gharama sana hawa watoto hawafanyi majaribio ya kutosha kwakua hakuna hivyo vifaa pamoja na chemicals!
Haitaishia hapa hii mwakani itakuwa mbaya zaidi kwani licha ya vifaa walimu pia ni wachache mno na wengi wameenda private schools kwa maslahi zaidi!
Tunapenda sana mteremko hii nchi!Watawala wengi pamoja na wakuu wa shule ni arts hawawezi kuipa sayansi kipaombele hata siku moja hivyo semina juu ya umuhimu wa sayansi inatakiwa kwao au vipi mtoa hoja!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kuna aliyejaribu Kuaaply TCU recently nashindwa it seems wanasema hawana records za matokeo yangu ya form 6, could it be bado hawaja feed matokeo yetu ya form 6 kwenye database zao.
 
siyo kweli UDSM kuna MSc(Physics), unakaribishwa kusoma mitaa hiyo, na pia chuo kikiuu cha DSM na matawi yake kama CHANG`OMBE(DUCE) na MKWAWA(MUCE) wanaofa BSc(Ed) na Bed(Sc) ambazo zote unaweza kusoma somo la PHYSICS kwa ufasaha zaidi, kufeli kwa wanafunzi ni kawaida kwa Taifa hili kwa sasa kwa masomo yote.

Jibu swali UDSM kuna degree ya Physics au hakuna? Hivyo vyuo vingine vyote ulivyovitaja hawafundishi Physics (pure)
bali ni Physics education kama vile Udom hata Mkwawa wanayo, lakini Bsc Physics (Bachelor of Science in Physics) Tanzania nzima ilikuwa ni UDSM peke yake (usichanganye hivyo vitu viwili)
 
Paper lilionekana rahisi ila kuna tatizo hasa nahisi wanafunzi tulikua tunadhani tuko right kumbe tupo wrong, mfano njia ya kujibu maswali hatuijui, unadhani kwa nini shule kama Marian wanakua na performance nzuri kila mwaka? Unaweza ukawa na mengi kichwani but bado ukashindwa kujibu mtihani vizuri, kwanza paper setting ni mbaya ukiangalia na distribution ya marks haipo constant, inakuaje swali la chemistry zima linapewa marks kumi kwa pamoja, swali moja marks nyingi na mtu ukikosa sidhani kama walikua wanasahihisha ulipoanzia, nahisi ulikua kama umekosa jibu basi ni zero, bado angalia walimu, mi nakumbuka kuna mwalimu alikua ananifundisha physics anakuja darasani amelewa, na hiyo ni shule special sasa ya kata itakuaje? Bado angalia vitabu vinavyoruhusiwa na NECTA kama review unakuta hawajui kujibu maswali na still unakuta wanakosea solution majibu sasa unadhani wanafunzi wanajua hilo au wanameza tu? Yani kuna kasoro kila kona, angalia setting ya mitihani ilivyo ya ovyo, mi sioni umuhimu wa kuweka Paper 1 na paper 2, mbona nchi nyingine mtihani moja tu afu standard, multiple choices afu section ya mwisho unakuta maswali kama matabo ya calculation yani A inakua ni kugusa tu, iweje bongo tu ndiyo iwe na system ya ajabu hivo..
 
Nimejaribu kupitia shule zilivyofanya vizuri sijaona A wala B za Physics!Hata aliyeongoza ni PCM mwenye A in Chemistry and Math na C ya Physics.Kumetokea nini kwenye hili somo wakuu?Mtihani ulikuwa mgumu?Walimu hawakuwaandaa vizuri wanafunzi?Wanafunzi hawakujiandaa vizuri?Format haikufuatwa in paper 1 and 2?Tatizo ni nini?Naomba tujadili wadau wa physics

Serikali inatakiwa ifutilie mbali hizi courses za ungwini sijui HGK, HGL, HGE wabaki na PCB and PCM only
 
Jibu swali UDSM kuna degree ya Physics au hakuna? Hivyo vyuo vingine vyote ulivyovitaja hawafundishi Physics (pure)
bali ni Physics education kama vile Udom hata Mkwawa wanayo, lakini Bsc Physics (Bachelor of Science in Physics) Tanzania nzima ilikuwa ni UDSM peke yake (usichanganye hivyo vitu viwili)
Mi naona unachanganyikiwa ndugu, kwani wanaotakiwa kufundisha physics na masomo mengine huko secondari ni watu gani hasa?
 
Na ukitaka kuelewa ukubwa wa tatizo lilipo sasa ni kwamba kama ulikuwa haufahamu Degree ya Physics imefutwa UDSM, kwa maana nyingine TZ huwezi kusomea Physics!
Nchi ya watu milioni 40 hakuna Degree ya Physics!

Habari ndio hiyo!


Wacha uongo wewe!! Unamaanisha hamna chuo wanatoa degree ya physics!? Nenda udom...bagamoyo...na vyuo vinavyotoa degree za education hasa science!! Sasa unaposema hamna degree za physics unamaanisha nin!!?
 
Jibu swali UDSM kuna degree ya Physics au hakuna? Hivyo vyuo vingine vyote ulivyovitaja hawafundishi Physics (pure)
bali ni Physics education kama vile Udom hata Mkwawa wanayo, lakini Bsc Physics (Bachelor of Science in Physics) Tanzania nzima ilikuwa ni UDSM peke yake (usichanganye hivyo vitu viwili)

Huu ni uongo mkuu!! Angalia guidebook ya tcu ndo utaelewa...nenda udom na bagamoyo wote wanatoa bsc in physics(sio education)..
 
Ukweli ni kwamba degree ya physics imefutwa UDSM, kwa kifupi huwezi kusomea Bsc/ Msc Tanzania, hiyo ya Dodoma ni kwenye Education hivyo muulize Mdogo wako vizuri na atakwambia, siku zote Tz nzima UDSM peke yake ndio walikuwa wanatoa Degree (Bsc) Fizikia, na kwa kuwa sasa na hicho kidogo kilichokuwa kimebakia wamekiondoa pia ina maana TZ nzima huwezi kusoma Bsc ya Physics huo ndio ukweli!


Mkuu BSc. In Physics ipo UDOM na hata Education yake pia ipo ....
 
Jibu swali UDSM kuna degree ya Physics au hakuna? Hivyo vyuo vingine vyote ulivyovitaja hawafundishi Physics (pure)
bali ni Physics education kama vile Udom hata Mkwawa wanayo, lakini Bsc Physics (Bachelor of Science in Physics) Tanzania nzima ilikuwa ni UDSM peke yake (usichanganye hivyo vitu viwili)
Haya mkuu tumerudi tena.Nimeangalia udsm college of natural and applied sciences(CoNAS),program uisemayo haipo.Hivyo kuna possibility imefutwa.

B.Sc. in Actuarial Science
B.Sc. in Aquatic Environmental Sciences and Conservation
B.Sc. in Fisheries and Aquaculture
B.Sc. in Applied Zoology
B.Sc. in Botanical Sciences
B.Sc. in Chemistry
B.Sc. in Geology
B.Sc. with Geology
B.Sc. in Engineering Geology
B.Sc. General
B.Sc. in Microbiology
B.Sc. in Molecular Biology and Biotechnology
B.Sc. in Wildlife Science and Conservation
B.Sc. with Education
B.Sc. in Petroleum Geology
B.Sc. in Petroleum Chemistry
B.Sc. in Meteorology

Pia jana nilikwambia nitakuletea fact kuhusu uwepo wa Bsc Physics Udom.Angalia table hii ambayo ni sehemu tu ya list of programs offered.

Information Systems
24
Bachelor of Science in Software
Engineering (BSc. SE) DM005 3.5 4 1,500,000
25
Bachelor of Science in Computer and
Information Systems Security (BSc. CISS) DM063 3.5 3 1,200,000
26
Bachelor of Science in ICT Mediated
Content Development (BSc. ICT–MCD) DM075 3.5 3 1,200,000
27
Bachelor of Science in Multimedia
Technology & Animation (BSc.MTA) DM076 3.5 3
1,200,000
28
Bachelor of Science in Computer
Engineering (BSc. CE) DM007 3.5 4 1,500,000
29
Bachelor of Science in
Telecommunication Engineering (BSc. TE) DM008 3.5 4 1,500,000
30
Bachelor of Science in Health
Information Systems (BSc. HIS) DM062 3.5 3 1,200,000
31 Bachelor of Science in Physics (BSc. Phy) DM009 3 3 1,200,000
32 Bachelor of Science in Chemistry (BSc. Chem) DM010 3.5 3 1,200,000
33 Bachelor of Science in Biology (BSc. Bio) DM011 3.5 3 1,200,000
34 Bachelor of Science in Mathematics (BSc. Maths) DM012 3.5 3 1,200,000
35 Bachelor of Science in Statistics (BSc. Stat) DM013 3.5 3 1,200,000
36 Bachelor of Arts in Kiswahili (BA - Kisw) DM017 5 3 800,000
37 Bachelor of Arts in History (BA - Hist) DM018 5 3 800,000
38
Bachelor of Arts in Kiswahili
Linguistics (BA – Kisw Ling) DM019 5 3 800,000
39 Bachelor of Arts in English (BA - Eng) DM020 5 3 800,000
40 Bachelor of Arts in French (BA - French) DM021 5 3 800,000
41 Bachelor of Arts in Literature (BA-Lit) DM022 5 3 800,000
42
Bachelor of Arts in Tourism and
Cultural Heritage (BA-TCH) DM023 5 3 800,000

Table haijawa clear lakini unaweza angalau kusoma program namba 31.Baada ya kukubaliana uwepo wa Bsc.Physics Tanzania sasa tuendelee na topic.Aksante!
 
Haya mkuu tumerudi tena.Nimeangalia udsm college of natural and applied sciences(CoNAS),program uisemayo haipo.Hivyo kuna possibility imefutwa.



Pia jana nilikwambia nitakuletea fact kuhusu uwepo wa Bsc Physics Udom.Angalia table hii ambayo ni sehemu tu ya list of programs offered.



Table haijawa clear lakini unaweza angalau kusoma program namba 31.Baada ya kukubaliana uwepo wa Bsc.Physics Tanzania sasa tuendelee na topic.Aksante!
Kijakazi mbona hukurudi?
 
Last edited by a moderator:
Kuna aliyejaribu Kuaaply TCU recently nashindwa it seems wanasema hawana records za matokeo yangu ya form 6, could it be bado hawaja feed matokeo yetu ya form 6 kwenye database zao.
wazee wa kudandi treni kwa mbele
 
Unafikiri ni kwa nini matokeo ya physics yapo mabaya hivyo?

Umenikumbusha machungu ya huo mwaka, sometimes huwa nahisi walitufanyia makusudi mwaka ule .....walah kuona nimemaliza hadi university kweli mungu mkubwa
 
Nimejaribu kupitia shule zilivyofanya vizuri sijaona A wala B za Physics!Hata aliyeongoza ni PCM mwenye A in Chemistry and Math na C ya Physics.Kumetokea nini kwenye hili somo wakuu?Mtihani ulikuwa mgumu?Walimu hawakuwaandaa vizuri wanafunzi?Wanafunzi hawakujiandaa vizuri?Format haikufuatwa in paper 1 and 2?Tatizo ni nini?Naomba tujadili wadau wa physics

mkuu!
syllabus ya physics haijakaa vizur, kuna vitu vingi sana ambavyo mwanafunzi anatakiwa kuvicover within 4years of studies, bado hakujafanyika selection na organization nzuri kwa somo la physics na hili sio kwa o-level tu bali hata A-level, PILI classroom implementation kwa physics bado inashida kuna upungufu uliokithiri wa walimu wa physics nchi hii kuliko hata hesabu lakini vilevile kuna upungufu uliokithiri wa zana za kujifunzia ikiwemo maabara isiokidhi. kingine ni mtazamo hasi wa wanafunzi kuhusu somo hilo, usione ajabu hata humu jf pengine wasifike hata 2% waliofaulu vizur f.4 na kuipenda somo hilo.
 
Kusema kweli,ile paper ya physics haikuwa ngumu kiviiile na wengi walitegemea mabanda isitoshe paper 2 na 3 zilikuwa nyanya.Kwa upande wangu siyaamini matokeo ya physics kabisaa.Anyway,tatizo ni ukosefu wa walimu competent na vitabu maalum havieleweki(mara chand,mara nelkon,mara roger,mara UP,mara tom duncan)kitabu special kilicho kwenye system hakifahamiki kiasi kwamba unasoma kwa kutapatapa kama mfa maji.

kwenye vitabu ndio usiseme kabisa!!! tumeproove failure kabisa!
 
Back
Top Bottom