stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 9,112
- 17,926
Tyson aliwahi kupoteza pambanoLabda ni agizo kutoka juu!
Muhamed Ali aliwahi kupoteza pambano
Sababu ni kupigwa mpaka kukaa chini na kuhesabiwa pia kushambuliwa ngumi za hapa na pale na kutolewa maamuzi ya Majaji yanayofahamika km 'unanimous decision' (UD) mwisho wa pambano, kujua zaidi jifunze unanimous decision ni nini? Wengi hawajui ndio maana wanalaumu
Soma hapa
Unanimous decision - Wikipedia
en.wikipedia.org