Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,751
- 218,339
Namshauri Kidunda aache ngumi , amekwisha , akiendelea atadhalilisha jeshi letu , na ikibidi astaafishwe kinguvu
Hatuwezi kuendelea kubebwa kibwege namna hii
Kingine ni hiki , wanajeshi kuja na magwanda na mabuti walitaka kumtisha nani ? siku wakija na makombora mtaendelea kunyamaza ? huu ndio uzalendo wa wapi ?
Hatuwezi kuendelea kubebwa kibwege namna hii
Kingine ni hiki , wanajeshi kuja na magwanda na mabuti walitaka kumtisha nani ? siku wakija na makombora mtaendelea kunyamaza ? huu ndio uzalendo wa wapi ?