Matokeo ya NBAA yametoka

Matokeo ya NBAA yametoka

mmc

Senior Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
109
Reaction score
35
Jamani mwenye taarifa yoyote kuhusu matokeo ya bodi ya ya uhasibu naomba atujuze jaman tuone tulichovuna .

asante.

Napenda kuwataarifu kuwa orodha ya wanafunzi waliofaulu CPA imebandikwa kwenye mbao za matangazo NBAA na matokeo kamili yatakuwa yamewekwa kwenye web kufikia kesho asubuhi.Hongereni kwa mliofaulu na wale ambao hamjafaulu msikate tamaa.

Nawasilisha
 
Napenda kuwataarifu kuwa orodha ya wanafunzi waliofaulu CPA imebandikwa kwenye mbao za matangazo NBAA na matokeo kamili yatakuwa yamewekwa kwenye web kufikia kesho asubuhi.Hongereni kwa mliofaulu na wale ambao hamjafaulu msikate tamaa.

Nawasilisha
 
orodha ya waliofaulu imetoka ila matokeo mengine yatatoka by kesho through web
 
MaToKeo Ni MazUri nImeOna leo. TUmShuKurU Mungu SaNa. KamA yA kWako uJayaOna kUwa Na iMani kESho yataKuwa kwEne site.
 
nbaa ndio wale wacheza basket wakina michael jordan,kelvin durrant na kobe braynt???
mbona wale kila weekend wanacheza mechi jamani na matokeo yanatoka
 
WAdau Wa JukWaa naPendA kUwAkarIbiSha mmNipe Hongerq kwakuaaa niMefaNikiwa kUpaTa C.P.A bAadAya maTokeOyaLeo kuTokA viZuri.
Napokea zawadi kupitia TiGopEsa na mPesa. Ni pM kAma UnamoYo wAkuNiponGeza.
 
Jamani mwenye taarifa yoyote kuhusu matokeo ya bodi ya ya uhasibu naomba atujuze jaman tuone tulichovuna .

asante.

Matokeo yapo tayari kwenye website ya NBAA asante Mungu nimefanikiwa kupata CPA baada ya kuitafuta kwa miaka 2.
 
Ulipataje hiyo CPA wakati una mwandiko mbaya hivyo??
 
Back
Top Bottom