Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kufuatana na habari katika Nipashe ya leo, matokeo ya mwisho ya urais kwa wagombea wakuu watatu ni kwamba Kikwete kapata kura milion 5.169, Dr Slaa kura milioni 2.193 na Prof Lipumba kura mil 0.649. Kwa mahesabu ya haraka haraka ni kwamba Kikwete kaambulia asilimia 64 ya jumla ya kura za watatu hao na Dr Slaa asilimia 27.3, Lipumba asilimia 8.0. Kama zikijumlishwa na za wagombea wengine, zilizoharibika nk -- asilimia hizo zote zitateremka na huenda JK kwa mfano akaambulia asilimia 61 hivi.
Inawezekana TCIB walikuwa sahihi kidogo?
Kufuatana na habari katika Nipashe ya leo, matokeo ya mwisho ya urais kwa wagombea wakuu watatu ni kwamba Kikwete kapata kura milion 5.169, Dr Slaa kura milioni 2.193 na Prof Lipumba kura mil 0.649. Kwa mahesabu ya haraka haraka ni kwamba Kikwete kaambulia asilimia 64 ya jumla ya kura za watatu hao na Dr Slaa asilimia 27.3, Lipumba asilimia 8.0. Kama zikijumlishwa na za wagombea wengine, zilizoharibika nk -- asilimia hizo zote zitateremka na huenda JK kwa mfano akaambulia asilimia 61 hivi.
Inawezekana TCIB walikuwa sahihi kidogo?
Kufuatana na habari katika Nipashe ya leo, matokeo ya mwisho ya urais kwa wagombea wakuu watatu ni kwamba Kikwete kapata kura milion 5.169, Dr Slaa kura milioni 2.193 na Prof Lipumba kura mil 0.649. Kwa mahesabu ya haraka haraka ni kwamba Kikwete kaambulia asilimia 64 ya jumla ya kura za watatu hao na Dr Slaa asilimia 27.3, Lipumba asilimia 8.0. Kama zikijumlishwa na za wagombea wengine, zilizoharibika nk -- asilimia hizo zote zitateremka na huenda JK kwa mfano akaambulia asilimia 61 hivi.
Inawezekana TCIB walikuwa sahihi kidogo?
Huu si ushindi kwa CCM na Kikwete, maana wao walitaka 80%++.
Hata unajimu wa synovate walijifanya wanaukataa kuwa umewaonea.
Pili, kutoka asilimia 80 kushuka kuja 65 si ushindi bali ni kushindwa.
Kwa CUF pia wameshindwa maana last time nadhani walipata 10% sasa wamepata 8%
Walioshinda ni Chadema, kutoka asilimia 5% kwenda 27%.
Synovate ndo walitabiri ushindi wa 61% kwahiyo nec wamelazimika kutengeneza matokeo yanayoendana na utabiri wa synovate ili wapate back up kwakuwa wanajua watu wenginwameonyesha kutokubaliana na kile wanachokitangaza.
Kufuatana na habari katika Nipashe ya leo, matokeo ya mwisho ya urais kwa wagombea wakuu watatu ni kwamba Kikwete kapata kura milion 5.169, Dr Slaa kura milioni 2.193 na Prof Lipumba kura mil 0.649. Kwa mahesabu ya haraka haraka ni kwamba Kikwete kaambulia asilimia 64 ya jumla ya kura za watatu hao na Dr Slaa asilimia 27.3, Lipumba asilimia 8.0. Kama zikijumlishwa na za wagombea wengine, zilizoharibika nk -- asilimia hizo zote zitateremka na huenda JK kwa mfano akaambulia asilimia 61 hivi.
Inawezekana TCIB walikuwa sahihi kidogo?
Kufuatana na habari katika Nipashe ya leo, matokeo ya mwisho ya urais kwa wagombea wakuu watatu ni kwamba Kikwete kapata kura milion 5.169, Dr Slaa kura milioni 2.193 na Prof Lipumba kura mil 0.649. Kwa mahesabu ya haraka haraka ni kwamba Kikwete kaambulia asilimia 64 ya jumla ya kura za watatu hao na Dr Slaa asilimia 27.3, Lipumba asilimia 8.0. Kama zikijumlishwa na za wagombea wengine, zilizoharibika nk -- asilimia hizo zote zitateremka na huenda JK kwa mfano akaambulia asilimia 61 hivi.
Inawezekana TCIB walikuwa sahihi kidogo?
Chademalism itaiua chadema! Be care