Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Kufuatana na habari katika Nipashe ya leo, matokeo ya mwisho ya urais kwa wagombea wakuu watatu ni kwamba Kikwete kapata kura milion 5.169, Dr Slaa kura milioni 2.193 na Prof Lipumba kura mil 0.649. Kwa mahesabu ya haraka haraka ni kwamba Kikwete kaambulia asilimia 64 ya jumla ya kura za watatu hao na Dr Slaa asilimia 27.3, Lipumba asilimia 8.0. Kama zikijumlishwa na za wagombea wengine, zilizoharibika nk -- asilimia hizo zote zitateremka na huenda JK kwa mfano akaambulia asilimia 61 hivi.
Inawezekana TCIB walikuwa sahihi kidogo?
Inawezekana TCIB walikuwa sahihi kidogo?