Uchaguzi 2020 Matokeo Rasmi ya Jumla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwaka 2020

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,863
930
MATOKEO RASMI YA JUMLA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni 29,759,699

Wapiga kura waliojitokeza Kura ni 15,910,950

Idadi ya kura halali ni 14,830,195

Idadi ya Kura zilizokataliwa ni 261,755

Kura Walizopata Wagombea

Dkt John Pombe Magufuli wa CCM ni Kura - 12,516,252

Leopard Lucas Mahona NRA ni Kura 8787

John Paul Shibuda ADA- TADEA ni Kura 33,086

Muttamwega Mgaywa SAU ni Kura 14,922

Cecilia Augustino Mmanga (Demokrasia Makini) ni Kura 14,556

Maganja Yeremia Kurwa (NCCR) ni Kura 19,969

Lipumba Ibrahim Haruna (CUF) ni Kura 72,885

Philipo John Fumbo (DP) ni Kura 8,283

Membe Benard Kamillius(ACT) ni Kura 81,129

Queen Curthibert Sendiga (ADC) ni Kura 7627

Twalib Ibrahim Kadege (UPDP) ni kura 6194

Rungwe Hashim Spunda (CHAUMMA) ni Kura 32,878

Mazrui Alfan Mohamed (UMD) ni Kura 3721

Seif Maalim Seif (AAFP) ni Kura 4,635

Lissu Tundu Antiphas Mughwai (CHADEMA) ni Kura 1,933,271

ANGALIZO; Watanzania wenzangu TUJITAHIDI KUJUA UMUHIMU WA KUJITOKEZA NA KUPIGA KURA (NGUVU YA KURA YAKO). KUPIGA KURA NI MAAMUZI TOSHA YA KUCHAGUA MTU MWAMINIFU UNAYEMTAKA NA UNAYEMUAMINI ATAKAYESIMAMA KWA AJILI YA KUSIMAMIA MASLAHI MAPANA YA TAIFA.

KATIKA UTAFITI WA UCHAGUZI MWAKA HUU UNAONYESHA KWAMBA
Jumla ya watu Milioni 29,754,999 walijiandikisha kupiga kura

15,910950 Ni idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura
14,830195 Kura halali za wapiga kura
261755 Idadi ya kura Zilizoharibika

12,516,252 Ni idadi ya kura alizopata mgombea wa CCM yaani JPM

1,933,271 Ni idadi ya kura alizozipata mgombea wa CHADEMA yaani TL

Kuna haja pia ya kutoa elimu ya kujitokeza Kupiga kura kwa wananchi.

Kama walijiandikisha Million 29+

Na waliopiga kura ni million 15+

Ina maana kuna watu million 17 hawakupiga kura.

Hata kama kuna sababu kadhaa za watu kutojitokeza kama vifo, kuhama, masomo, vyuo kufungwa, kulazwa hospital, lakini idadi yao imekuwa kubwa sana.

Uchambuzi Mwingine Mfanano: Mwenendo wa Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2020

Ni masaa takribani 48 tangu wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watimize haki na wajibu wao kikatiba, wa kuchagua viongozi wao katika ngazi ya kitaifa, jimbo na kata. Hatua ya upigaji kura ilikamilika tar 28 Oktoba mwendo wa saa kumi jioni na kupisha hatua za kuhesabu, kujumlisha kura pamoja na kutangaza matokeo katika ngazi ya urais, ubunge na udiwani nchi nzima.

Tume ya taifa ya uchaguzi - chombo chenye mamlaka kisheria kuratibu shughuli za uchaguzi - tayari imeanza kutoa matokeo ya awali ya kura kwa ngazi ya urais. Mpaka makala hii inapoandikwa leo - ambapo matokeo ya majimbo yote 264 yalikuwa yametangazwa na tume ya uchaguzi - Dk. John Pombe Magufuli, mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi ameongoza kwa kupata 84.40% ya kura halali akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akiwa na 13.04%.

Matokeo haya yanashabihiana na matokeo ya tafiti huru mbali mbali mbali zilizofanyika kipindi cha kampeni kilichoanza mwezi Agosti na kukoma siku moja kabla ya kupiga kura. Moja ya tafiti hizi ni ile ya kurayamtandaoni.com ambayo ilikamilika huku Dk. John Pombe Magufuli akipata 80.8% akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akipata 13.6%. Kura hiyo ambayo ilikuwa wazi kwa mtu yeyote mtandaoni, ilishirikisha zaidi ya watu 47,000 ambayo ni sawa na sampuli ya takribani 1.6% ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura.

Taarifa mbalimbali za waangalizi rasmi wa uchaguzi huu zimechapishwa katika vyombo vya habari mashuhuri likiwemo shirika la habari la BBC ambalo limechapisha habari ya taarifa ya Ujumbe wa waangalizi wa Uchaguzi kutoka jumuiya ya Afrika Mashariki. Ujumbe huo ulioongozwa na rais wa zamani wa Burundi, Silvestre Ntibantunganya, umeshuhudia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania ulifanyika kwa kufuata taratibu. Ndg. Ntibantungaya aligusia hali ya usalama katika maeneo mbalimbali, kampeni zilizofanyika kwa uhuru, uratibu wa weledi wa shughuli ya upigaji kura.

Ahsanteni sana mliojitokeza kupiga kura.

IMG-20201030-WA0263.jpg
IMG-20201030-WA0235.jpg
 
Pia napenda kuujulisha Umma kuwa Mawakala wa Mabeberu waliingia kwny uchaguzi huu wakiwa na Majimbo 71 lakin baada ya uchaguzi wana majimbo 8 pekee

Poa napenda kuujulisha kuwa CUF ya Lipumba imepata Wabunge wengi mara 3 ya waliopata Chadema

Pia CCM na CUF ndio vyama pekee ambavyo vimepata Wabunge pande zote mbili za Muungano

Pia Chadema ndio kitakuwa chama pekee cheny wabunge wa Jinsia moja 2020~2025
 
Hiyo ni taarifa ya Polepole kabla hata ya uchaguzi. alikuwa anarudia rudia ili kupoza ili watu wazoee kinachokuja.

but instead you have committed treason
 
Kwenye vita ya Uganda niliambiwa kuna watu walijitolea kwenda kupigana, je kwa Tz ya sasa kuna raia anaweza jitolea kweli?

Uzalendo wa nchi yetu uko wapi?
 
Pia napenda kuujulisha Umma kuwa Mawakala wa Mabeberu waliingia kwny uchaguzi huu wakiwa na Majimbo 71 lakin baada ya uchaguzi wana majimbo 8 pekee

Poa napenda kuujulisha kuwa CUF ya Lipumba imepata Wabunge wengi mara 3 ya waliopata Chadema

Pia CCM na CUF ndio vyama pekee ambavyo vimepata Wabunge pande zote mbili za Muungano

Pia Chadema ndio kitakuwa chama pekee cheny wabunge wa Jinsia moja 2020~2025
Mwaka huu vyama vya upinzani vimekutana na watu SMART IN POLITICS
 
MATOKEO RASMI YA JUMLA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni 29,759,699

Wapiga kura waliojitokeza Kura ni 15,910,950

Idadi ya kura halali ni 14,830,195

Idadi ya Kura zilizokataliwa ni 261,755

Kura Walizopata Wagombea

Dkt John Pombe Magufuli wa CCM ni Kura - 12,516,252

Leopard Lucas Mahona NRA ni Kura 8787

John Paul Shibuda ADA- TADEA ni Kura 33,086

Muttamwega Mgaywa SAU ni Kura 14,922

Cecilia Augustino Mmanga (Demokrasia Makini) ni Kura 14,556

Maganja Yeremia Kurwa (NCCR) ni Kura 19,969

Lipumba Ibrahim Haruna (CUF) ni Kura 72,885

Philipo John Fumbo (DP) ni Kura 8,283

Membe Benard Kamillius(ACT) ni Kura 81,129

Queen Curthibert Sendiga (ADC) ni Kura 7627

Twalib Ibrahim Kadege (UPDP) ni kura 6194

Rungwe Hashim Spunda (CHAUMMA) ni Kura 32,878

Mazrui Alfan Mohamed (UMD) ni Kura 3721

Seif Maalim Seif (AAFP) ni Kura 4,635

Lissu Tundu Antiphas Mughwai (CHADEMA) ni Kura 1,933,271

ANGALIZO; Watanzania wenzangu TUJITAHIDI KUJUA UMUHIMU WA KUJITOKEZA NA KUPIGA KURA (NGUVU YA KURA YAKO). KUPIGA KURA NI MAAMUZI TOSHA YA KUCHAGUA MTU MWAMINIFU UNAYEMTAKA NA UNAYEMUAMINI ATAKAYESIMAMA KWA AJILI YA KUSIMAMIA MASLAHI MAPANA YA TAIFA.

KATIKA UTAFITI WA UCHAGUZI MWAKA HUU UNAONYESHA KWAMBA
Jumla ya watu Milioni 29,754,999 walijiandikisha kupiga kura

15,910950 Ni idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura
14,830195 Kura halali za wapiga kura
261755 Idadi ya kura Zilizoharibika

12,516,252 Ni idadi ya kura alizopata mgombea wa CCM yaani JPM

1,933,271 Ni idadi ya kura alizozipata mgombea wa CHADEMA yaani TL

Kuna haja pia ya kutoa elimu ya kujitokeza Kupiga kura kwa wananchi.

Kama walijiandikisha Million 29+

Na waliopiga kura ni million 15+

Ina maana kuna watu million 17 hawakupiga kura.

Hata kama kuna sababu kadhaa za watu kutojitokeza kama vifo, kuhama, masomo, vyuo kufungwa, kulazwa hospital, lakini idadi yao imekuwa kubwa sana.

Uchambuzi Mwingine Mfanano: Mwenendo wa Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2020

Ni masaa takribani 48 tangu wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watimize haki na wajibu wao kikatiba, wa kuchagua viongozi wao katika ngazi ya kitaifa, jimbo na kata. Hatua ya upigaji kura ilikamilika tar 28 Oktoba mwendo wa saa kumi jioni na kupisha hatua za kuhesabu, kujumlisha kura pamoja na kutangaza matokeo katika ngazi ya urais, ubunge na udiwani nchi nzima.

Tume ya taifa ya uchaguzi - chombo chenye mamlaka kisheria kuratibu shughuli za uchaguzi - tayari imeanza kutoa matokeo ya awali ya kura kwa ngazi ya urais. Mpaka makala hii inapoandikwa leo - ambapo matokeo ya majimbo yote 264 yalikuwa yametangazwa na tume ya uchaguzi - Dk. John Pombe Magufuli, mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi ameongoza kwa kupata 84.40% ya kura halali akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akiwa na 13.04%.

Matokeo haya yanashabihiana na matokeo ya tafiti huru mbali mbali mbali zilizofanyika kipindi cha kampeni kilichoanza mwezi Agosti na kukoma siku moja kabla ya kupiga kura. Moja ya tafiti hizi ni ile ya kurayamtandaoni.com ambayo ilikamilika huku Dk. John Pombe Magufuli akipata 80.8% akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akipata 13.6%. Kura hiyo ambayo ilikuwa wazi kwa mtu yeyote mtandaoni, ilishirikisha zaidi ya watu 47,000 ambayo ni sawa na sampuli ya takribani 1.6% ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura.

Taarifa mbalimbali za waangalizi rasmi wa uchaguzi huu zimechapishwa katika vyombo vya habari mashuhuri likiwemo shirika la habari la BBC ambalo limechapisha habari ya taarifa ya Ujumbe wa waangalizi wa Uchaguzi kutoka jumuiya ya Afrika Mashariki. Ujumbe huo ulioongozwa na rais wa zamani wa Burundi, Silvestre Ntibantunganya, umeshuhudia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania ulifanyika kwa kufuata taratibu. Ndg. Ntibantungaya aligusia hali ya usalama katika maeneo mbalimbali, kampeni zilizofanyika kwa uhuru, uratibu wa weledi wa shughuli ya upigaji kura.

Ahsanteni sana mliojitokeza kupiga kura.

View attachment 1616252View attachment 1616254

Lisu alijuaje kuwa Magufuli atapata kura million 12?

Je, ni KWELI TUME YA UCHAGUZI waliandaa idadi hiyo ya kura?
 
Lisu alijuaje kuwa Magufuli atapata kura million 12?

Je, ni KWELI TUME YA UCHAGUZI waliandaa idadi hiyo ya kura?
Kubashiri ni kitu cha kawaida kwa sababu siyo kila analolisemaga TL huwa ni la kweli, alisemaga MUNGU hawezi kutuponya corona lakini akaumbuka
 
MATOKEO RASMI YA JUMLA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni 29,759,699

Wapiga kura waliojitokeza Kura ni 15,910,950

Idadi ya kura halali ni 14,830,195

Idadi ya Kura zilizokataliwa ni 261,755

Kura Walizopata Wagombea

Dkt John Pombe Magufuli wa CCM ni Kura - 12,516,252

Leopard Lucas Mahona NRA ni Kura 8787

John Paul Shibuda ADA- TADEA ni Kura 33,086

Muttamwega Mgaywa SAU ni Kura 14,922

Cecilia Augustino Mmanga (Demokrasia Makini) ni Kura 14,556

Maganja Yeremia Kurwa (NCCR) ni Kura 19,969

Lipumba Ibrahim Haruna (CUF) ni Kura 72,885

Philipo John Fumbo (DP) ni Kura 8,283

Membe Benard Kamillius(ACT) ni Kura 81,129

Queen Curthibert Sendiga (ADC) ni Kura 7627

Twalib Ibrahim Kadege (UPDP) ni kura 6194

Rungwe Hashim Spunda (CHAUMMA) ni Kura 32,878

Mazrui Alfan Mohamed (UMD) ni Kura 3721

Seif Maalim Seif (AAFP) ni Kura 4,635

Lissu Tundu Antiphas Mughwai (CHADEMA) ni Kura 1,933,271

ANGALIZO; Watanzania wenzangu TUJITAHIDI KUJUA UMUHIMU WA KUJITOKEZA NA KUPIGA KURA (NGUVU YA KURA YAKO). KUPIGA KURA NI MAAMUZI TOSHA YA KUCHAGUA MTU MWAMINIFU UNAYEMTAKA NA UNAYEMUAMINI ATAKAYESIMAMA KWA AJILI YA KUSIMAMIA MASLAHI MAPANA YA TAIFA.

KATIKA UTAFITI WA UCHAGUZI MWAKA HUU UNAONYESHA KWAMBA
Jumla ya watu Milioni 29,754,999 walijiandikisha kupiga kura

15,910950 Ni idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura
14,830195 Kura halali za wapiga kura
261755 Idadi ya kura Zilizoharibika

12,516,252 Ni idadi ya kura alizopata mgombea wa CCM yaani JPM

1,933,271 Ni idadi ya kura alizozipata mgombea wa CHADEMA yaani TL

Kuna haja pia ya kutoa elimu ya kujitokeza Kupiga kura kwa wananchi.

Kama walijiandikisha Million 29+

Na waliopiga kura ni million 15+

Ina maana kuna watu million 17 hawakupiga kura.

Hata kama kuna sababu kadhaa za watu kutojitokeza kama vifo, kuhama, masomo, vyuo kufungwa, kulazwa hospital, lakini idadi yao imekuwa kubwa sana.

Uchambuzi Mwingine Mfanano: Mwenendo wa Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2020

Ni masaa takribani 48 tangu wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watimize haki na wajibu wao kikatiba, wa kuchagua viongozi wao katika ngazi ya kitaifa, jimbo na kata. Hatua ya upigaji kura ilikamilika tar 28 Oktoba mwendo wa saa kumi jioni na kupisha hatua za kuhesabu, kujumlisha kura pamoja na kutangaza matokeo katika ngazi ya urais, ubunge na udiwani nchi nzima.

Tume ya taifa ya uchaguzi - chombo chenye mamlaka kisheria kuratibu shughuli za uchaguzi - tayari imeanza kutoa matokeo ya awali ya kura kwa ngazi ya urais. Mpaka makala hii inapoandikwa leo - ambapo matokeo ya majimbo yote 264 yalikuwa yametangazwa na tume ya uchaguzi - Dk. John Pombe Magufuli, mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi ameongoza kwa kupata 84.40% ya kura halali akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akiwa na 13.04%.

Matokeo haya yanashabihiana na matokeo ya tafiti huru mbali mbali mbali zilizofanyika kipindi cha kampeni kilichoanza mwezi Agosti na kukoma siku moja kabla ya kupiga kura. Moja ya tafiti hizi ni ile ya kurayamtandaoni.com ambayo ilikamilika huku Dk. John Pombe Magufuli akipata 80.8% akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akipata 13.6%. Kura hiyo ambayo ilikuwa wazi kwa mtu yeyote mtandaoni, ilishirikisha zaidi ya watu 47,000 ambayo ni sawa na sampuli ya takribani 1.6% ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura.

Taarifa mbalimbali za waangalizi rasmi wa uchaguzi huu zimechapishwa katika vyombo vya habari mashuhuri likiwemo shirika la habari la BBC ambalo limechapisha habari ya taarifa ya Ujumbe wa waangalizi wa Uchaguzi kutoka jumuiya ya Afrika Mashariki. Ujumbe huo ulioongozwa na rais wa zamani wa Burundi, Silvestre Ntibantunganya, umeshuhudia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania ulifanyika kwa kufuata taratibu. Ndg. Ntibantungaya aligusia hali ya usalama katika maeneo mbalimbali, kampeni zilizofanyika kwa uhuru, uratibu wa weledi wa shughuli ya upigaji kura.

Ahsanteni sana mliojitokeza kupiga kura.

View attachment 1616252View attachment 1616254
Wanawaza tu ruzuku hawa chandimu, namba huwa hazikosei!
 
Back
Top Bottom