Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,367
duh mbaya sana
kuwa makin na ww isijekukutokea. Hahahaaa
duh mbaya sana
Wewe si nasikia ulikua naniliu? Umetoka lini?
Hahaha window nilikuwa wapi
Nilipata taarifa zako... Ngoja nivae miwani nichek mafaili yangu ulifichwa wapi.
ndio akome kuliko kuiba borA akuoe mke wa pili na kama ni mkristo jiondoe mapema watu wanamahasiraa
Hata mimi nimeshaona mwanaume kafumaniwa mkewe kumuuliza akaanza kumpiga na kumkashifu mkewe mbele za watu wakati kosa ni la kwake na kumwambia kwani unatakajeNilishaona kwa macho mwanaume kafumaniwa akamaind sana eti katiwa aibu bora angemsubiri wakayamaliza ss yule mwanamke alimpiga yule hawara wa mume huku watu wanashuhudia bas alifika nyumbani akampa talaka na haikupita mwez kamuowa hawara ss ya nn kujidhalilisha ni bora ikitokea zipo njia za kufanya na ujumbe ikafika
hahahahaha hebu chek uniambie nitakupa zawadi
kuwa makin na ww isijekukutokea. Hahahaaa
duuuuuuhhhhh