Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,291
Basi enzi zile kuna mitihani ya darasa la saba ikijumuisha shule za Maanga, Sinde, Mwenge, Nzovwe, Ilemi, Muungano na Ruanda nzovwe kulikuwa na wakali wao mwaka 2001.
Stephen Swetala, Ibrahim David, Daudi Mwala, Goodluck Mlwilo, Diligent Mmbaga, Wilson Ngole, Mbawala (wa muungano) na yule jamaa wa sinde simkumbuki jina. Walienda special schools kasoro huyo Diligent.
Matokeo ya form four 2005 kukawa na maajabu maana Mwala na Ibrahim waliangukia pua na kutupwa technical halafu huyo Diligent akaenda special akitokea shule ya kata. Sijui waliendeleaje huko advance na wako wapi siku hizi.
Stephen Swetala, Ibrahim David, Daudi Mwala, Goodluck Mlwilo, Diligent Mmbaga, Wilson Ngole, Mbawala (wa muungano) na yule jamaa wa sinde simkumbuki jina. Walienda special schools kasoro huyo Diligent.
Matokeo ya form four 2005 kukawa na maajabu maana Mwala na Ibrahim waliangukia pua na kutupwa technical halafu huyo Diligent akaenda special akitokea shule ya kata. Sijui waliendeleaje huko advance na wako wapi siku hizi.