Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

February 18, 2013 NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA Page : 1

QT 2012 RESULTS FOR : M0104 - BWIRU BOYS SECONDARY SCHOOL CENTRE
 
haahahahahaahahahahah nakumbuka nilifundishwa kutu kimoja na bibi yangu kuwa mzazi au jirani akikuletea malala mishi wya watoto ugomvi hata kama mwernye haki hni mwanao USIMTETEEE NA KUGOMBANA NA JIRANI, MPIGE BITI UKUJUA MWANAO ANA KHAKI.BAADAE MWAMBIE ILA UUSOMEEE KWA BIDII MWANANGU LAKINI KUINGIA BARABARANI KWA SOMO LA ISLAMIK KNOWLLEDGE MLIKOSEA SANA.HAPO WANAJUWA KUWA HATA AKIFELI MZAZI ATAANDAMANANA ITASEMWA AMEFELISHWA TU.
 
Hii hapa link wadau, sina details zaidi hongereni wadogo zetu, poleni mlioandika verse kama mpo sijui


ila kwa nini necta wanaweka namba na sio majina?!!?
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (MB) leo ametangaza rasmi matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, maarifa na QT.

Jumla ya watahiniwa waliofaulu kwa Mujibu wa Matokeo hayo ni 23520 kuanzia dara la I hadi la II huku katika mchakato huo wasichana waliofaulu katika mchakato huo ni 7178 na wavulana ni 16342.Aidha Waziri Kawambwa amesema kuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza ni 1641, daraja la pili ni 6495 na daraja la tatu ni 15426 na walio feli ni 24903.

Shule bora ni pamoja na
St. Francis Girl ya Mbeya,
Marian Boys ya Bagamoyo,
Feza Boys DSM,
Marian Girls Bagamoyo, na
Simini ndizo zipo tano bora huku shule nyingine ni
Kanosa,
Jude,
St. Mary.
 
Kama watu hawasomi unategemea nini, wanakaririshwa elimu a***a wameachana na elimu....
 
Back
Top Bottom