Matokeo ya Igunga naona hivi sasa yamegeuka mambo ya utani tu; kila mtu huibuka na ya kwake mfukoni na tambo juu.
Kwa mfano naye huyu mtoto wa Nnauye naye kaibuka na ya kwake - haya tukayasome tukisubiri na matokeo kutoka kwa Mhe Tambwe Hizza.
dogo unafahamu kuwa wewe sio 'returning officer' wa Igunga na mtu kama wewe ambaye ni senior party official kutangaza unofficial results ni ulimbukeni/uendawazimu,halafu wewe si uliambiwa usihusike na lolote Igunga ? na hata ulipopita tu ulizuga eti nilipita kuhani msiba.MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
Angalia kwenye RED matokeo ya kupikwa jamani msihangaike na TISS wako kazini.Nape Nnauye
Matokeo Igunga.(Jumla kuu ni CCM 26266. CHADEMA 22443)
Na haya ni kata kwa kata...
Mboto CCM 730- CHADEMA 302
Nguvu moja CCM 694 CHADEMA 284
Nkinga CCM1479. CHADEMA 1085
Itumba CCM1079 CHADEMA 590
Nanga. CCM 897. CHADEMA 645
Igurubi CCM 925 CHADEMA 592
Mwisi CCM 926. CHADEMA 992
Mbutu. CCM 1186. CHADEMA 1426
Kinungu. CCM 505 CHADEMA 268
Ngulu CCM 622 CHADEMA 412
Igunga CCM 3181 CHADEMA 3358
Choma CCM 1227 CHADEMA 918
Kining. CCM 700 CHADEMA 451
Mwashiku. CCM 798 CHADEMA 484
Nsimbo CCM 738 CHADEMA 1016
Itunduru CCM 738 CHADEMA 784
Mwamashimba CCM 1224 CHADEMA 1421
Mbutu CCM 1335 CHADEMA 1427
Bukoko CCM 1136 Chadema 931
Nyandekwa CCM 691 Chadema 631
Ndembezi CCM 866 Chadema 806
Chabutwa CCM 545 Chadema 581
Ziba CCM 1053 Chadema 860
Igoweko CCM 1051 Chadema 880
Sungwizi CCM 1225 Chadema 718
Isakamaliwa CCM 525 Chadema 593
OHOOO PEOPLES POWER TENA KWISHNEI!!!!
mbutu ziko mbili!!!!mbona siwaelewi?Nape Nnauye
Matokeo Igunga.(Jumla kuu ni CCM 26266. CHADEMA 22443)
Na haya ni kata kwa kata...
Mboto CCM 730- CHADEMA 302
Nguvu moja CCM 694 CHADEMA 284
Nkinga CCM1479. CHADEMA 1085
Itumba CCM1079 CHADEMA 590
Nanga. CCM 897. CHADEMA 645
Igurubi CCM 925 CHADEMA 592
Mwisi CCM 926. CHADEMA 992
Mbutu. CCM 1186. CHADEMA 1426
Kinungu. CCM 505 CHADEMA 268
Ngulu CCM 622 CHADEMA 412
Igunga CCM 3181 CHADEMA 3358
Choma CCM 1227 CHADEMA 918
Kining. CCM 700 CHADEMA 451
Mwashiku. CCM 798 CHADEMA 484
Nsimbo CCM 738 CHADEMA 1016
Itunduru CCM 738 CHADEMA 784
Mwamashimba CCM 1224 CHADEMA 1421
Mbutu CCM 1335 CHADEMA 1427
Bukoko CCM 1136 Chadema 931
Nyandekwa CCM 691 Chadema 631
Ndembezi CCM 866 Chadema 806
Chabutwa CCM 545 Chadema 581
Ziba CCM 1053 Chadema 860
Igoweko CCM 1051 Chadema 880
Sungwizi CCM 1225 Chadema 718
Isakamaliwa CCM 525 Chadema 593
OHOOO PEOPLES POWER TENA KWISHNEI!!!!
Huyu jamaa IQ ndogo sana yeye ni kiongozi wa Kitaifa anajua kutangaza matokeo kabla ya tume ni kosa halafu afadhali yangekuwa ya kweli sasa yamekosewa ni ya uongo.dogo unafahamu kuwa wewe sio 'returning officer' wa Igunga na mtu kama wewe ambaye ni senior party official kutangaza unofficial results ni ulimbukeni/uendawazimu,halafu wewe si uliambiwa usihusike na lolote Igunga ? na hata ulipopita tu ulizuga eti nilipita kuhani msiba.
Jiuzulu tu chama hichi kina wenyewe na YOU ARE NOT ONE OF THEM FOR SURE.
Kuwa jasiri uamuzi mgumu uanze kwako.
Angalia kwenye RED matokeo ya kupikwa jamani msihangaike na TISS wako kazini.
Magwanda yapi: ya kijani au ya khaki? Maana wote CCM na CDM mna magwanda.MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
nafikiri kwa kiongozi wa juu wa chama kama siku nyingine unatakiwa uwe makini,katika list uliyotoa wewe naona kata 9 zimeongozwa na chadema, naamini sasa uongozi ulipewa kwa fadhila za babaMAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
Ninachozidi kukukandia Nape ni utoto, kwani lugha zako huonekani kama mtu mwenye wadhifa, ila wale jamaa wa mitaani, na huonyeshi dalili za mtu kupata malezi kwenye familia yenye wazazi wenye nafasi. Unatakiwa jifunze lugha zile za ustaarabu ambazo zinakuweka kwenye heshima yako. Kumbuka huwakilishi kundi la mitaani, bali umma wa watu wenye rika zote na nafasi mbalimbali katika jamii. Hii kitu unaongea hapo kwangu mie unaonyesha ulivyo mtupu kimaadili na kabisa busara na hekima vimekupiga kikumbo mno. Hali hiyo inakuvunjia heshima badala ya kukujengea in future.
Kumbuka tunavyokushauri ni kwa nia njema kabisa, unataka uone jamii yako tunaokuzunguka na kuongea juu yako ni kioo chako cha kujitazama na kujirekebisha kama umefanya visivyo, lakini ufanyavyo ni kama mtu mwenye sikio lililokufa. Jaribu kurudi kachukue somo la uongozi watakusaidia kupata falsafa gani kama kiongozi mwandamizi utumie kwenye umma badala ya hii, maana kuna wazee wenye heshima zao hawatafurahishwa na lugha hizi.
Nikupe darasa: ungeandika kama ifuatavyo ningekuona zimekaa vizuri kichwani:
"Pamoja na jitihaza zote za Chadema na kujigamba kuchukua Jimbo la Igunda imewawia vigumu kwa vile CCM ina mizizi. Hata hivyo tunawapongeza Chadema kwa changamoto waliyotupa na tumejifunza udhaifu wetu namna gani ya kukabiliana nao. Hivyo ushindi wetu kwa kuchukua kata nyingi ni kielelezo cha kukubalika bado kwa chama chetu huko Igunga."
Hii ningekuona kama kichwani umetulia, lakini uliyoongea ni sawu r righta na wale jamaa baada ya kukolea hukenua midomo na kutikisa mabega huku mwili ukiwasisimua kwa awamu kwa vile wamekuwa stimulated by something, you know what I mean?
Iwapo kweli hayo ndiyo matokeo, basi ccm hamna sababu ya kujivuna! Ndio mnaishia hivyo! Pamoja na nguvu zote zilizotumika zikiwemo na propaganda chafu za udini kwa kutumia Bakwata ndio mnaambulia kiasi hicho? Pamoja na viongozi wa Serikali na kufunga maofisi Dar es salaam na kuhamia Igunga, hiyo ndiyo percentage inayowafanya mbweteke? Pamoja na vitisho vyote vya Green Guard na matumizi makubwa ya pesa za kifisadi kwa ajili ya kuhonga kwenye huo uchaguzi mdogo, mnadhani mnao usalama siku za usoni?MAGWANDWA NOMAAAAA kelele zote hizo aibu hii sasa inakuaje? kati ya kata 22 mmeambulia 3 CCM ikiibuka na 18 cuf moja tu, masikini
Angalia kwenye RED matokeo ya kupikwa jamani msihangaike na TISS wako kazini.