Matokeo ya bodi ya mikopo kwa continuing students ambao hapo awali walikosa mikopo.

SENGANITU

Member
Sep 19, 2012
50
15
Ndugu wadau wa Jamii Forum ninaomba kujua wapi yanapatikana matokeo ya wanachuo ambao ni continuing na ambao walikosa mikopo hapo awali na baadae waka appeal.Mwenye jipya kwa hili ajitokeze,atuelekeze kwa faida ya umma wa wanafunzi hawa ambao wamejawa majeraha ya ada na mahitaji mengine ya kitaaluma. Limekuwa ni kundi maalum kwa athari hizi za maisha magumu katika vyuo wanavyosoma.
 
Ni kwel wakuu kama kuna mdau mwenye info atujuze maana du!maisha yalikuwa magumu sana last year ,tukaamua kuomba tena baadhi yetu majina yalitoka katika orodha ya watu wenye kasoro katika fomu zao na tukarekebisha lakin hata mmoja wetu hajatokea kwenye link za waliopata mkopo,tujuzane wadau kama vp tujue kama sisi si watanzania au wazazi wetu hawakuhusika na ujenz wa nchi hii,inauma sana wadau!
 
jamani ndugu zangu mnaoendelea na masomo poleni sana kwa hili ikiwemo na mimi mwenyewe coz ni miongoni mwao, wana ndugu mimi binafsi ijumaa iliyopita ya tar 21 nilikuwepo bodi ya mikopo ili kujua hatma yetu juu ya swala zima ya kupangiwa mikopo kwa sababu inavyoonekana wanafunzi woote wanaoendelea na masomo hakuna hata mtu mmja ambae amepangiwa mkopo.. (KAMA YUPO NAOMBA TUFAHAMISHANE), hivyo basi hatimae mimi pamoja na wenzangu kama wanne hivi tulipata nafasi ya kuingia ndani na kuhoji swala hili la mkopo kwa wanafunzi tunaoendelea na masomo. wale watu walichotujibu nikwamba...... allocation za mkopo zilizotoka ni za mwaka wa kwanza, sisi tunaoendelea na masomo alocation bado hatujapangiwa ila zitatoka. ila hawajasema zitatoka lini, walichokisema nikwamba tuwe tunatembelea website ya bodi watazipublish, pia wakasema au allocation zetu zitakuja pindi tumeshafika chuoni pale zile batch za watu wilopangiwa mikopo zikitoka basi na majina yetu yatakua ni miongoni mwao, hii ni kwa sababu hawawezi kukupangia mkopo wakati hawajui kama bado unaendelea na masomo au umedisco na vitu vingine kama hivyo so lazima wapate comfirmation kutoka chuo ikiwa ni pamoja na matokeo yako na chuo kithibitishe kweli tuna mwanafunzi huyu na bado anaendelea na masomo xo hio ndo sababu ya kutuma allocation tukiwa tumesharipoti chuoni. waliongezea kwamba kama kawaida sio wote watapata kulingana na ufinyu wa bajeti kuna watakao pata na watakaokosa pia. kwa hiyo jamani hayo ndio yalio jiri huko lakini sisi kama wadau ambo tupo karibu na bodi tutafuatilia kwa ukaribu hatma yetu na kila litakalo jiri tutafahamishana wadau cha msingituombe mungu na tuwe na subira . MJUMBE HAPIGWI MAWE.... AHSANTENI SANA NAWASILISHAAA WAKUU
 
shukran xaana mzaz kwa feedz, endelea xana kufuatilia xwala la hili kundi licje likaxahaulika bana...
 
pamoja xana wana jukwaa, lingine jipya lililo jiri leo ni kwamba leo hii management na body of directors wamekaa kikao mchana katika kuhaklikisha tunapata mkopo kwa wakati stahili xo inavyoonekana haitachukua muda mrefu swala hililitakuwa limepatiwa ufumbuzi. kwa hiyo wakuu tuwe na subira jamani asanten sana
 
Back
Top Bottom