Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

Hizo ni kama kura milion 4 tu kati ya zaidi ya mili 15 waliopiga kura!...,na hapo ni nusu ya majimbo yote tz!.,je mbona ni kura chache sana?,,huoni hayo majimbo yana watu wachache tuu

ccm machale yaliwacheza sana kumalizia kampeni kanda ya ziwa tukubali tukatae uchaguzi huu kanda ya ziwa ndio wameamua rais awe nani nasema hivi kwa sbb ukiachilia dar mwanza ndio ilikuwa inafuata kwa wapiga kura wengi, kilichotokea ni maajabu majimbo karibu yote ya upinzani yamerudi ccm nyamagana, ilemela, kahama, bukombe, nk nec nazani imetangaza majimbo machache tu kanda ya ziwa mpaka sasa upande wa kura za urais na yaliyobaki ndiko ccm imeshinda zaidi wala chadema wasilaumu kabisa, kura nyingi ziko kanda ya ziwa na ndiko ccm imeshinda zaidi ya isivyozaniwa hakuna alieibiwa kura kila kitu kilikuwa hadharani tungekuwa tunapiga kura siku ya mikutano ya kampeni lowassa angeibuka kidedea hali ni tete kwa chadema,kalibia kanda ya ziwa yote magufuli amezoa kura kwa wingi kweli inashangaza lkn ndio hali halisi kweli nimeamini mcheza kwao hutunzwa, mwacheni mungu aitwe mungu hata mm mwana ccm nashaangaa kilichotokea mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla
 
tumia akili kidogo, kumbuka wanafunzi wa vyuo walijiandikisha shuleni kura wamepigia majumbani kwao hivyo unaruhusiwa kupiga urais, ubunge na udiwani wamekataliwa.

Kweli hiyo akili kidogo. Maana wanafunzi elfu ishirini wapi pale sawasawa. Tumeelewa akiki kidogo.
 
Siha
Hai
Simanjiro
Same
Arumeru mashariki
Karatu
Moshi vijini
Tanga mjini
Dar yote
Musoma
Ngorongoro


.....kazi bado ni ndefu zaidi ya unavyozani ukichukua jimbo moja la arumeru mashariki unapata majimbo 12 ya magufuli.....
 
Idadi ya kura zote ktk boksi la mbunge ni takriban elf 20, na idadi ya kura zote ktk boksi la raisi ni takriban elfu 45. Inamaana kuna watu elfu ishirini na ushee hawakupiga kurq kwa mbunge.ila walimpigia raisi tuu. Nadhani utakuwa umeelewa
Angalia hii
Jimbo la Bumbuli ndilo litakuwa mfano wa wizi wa kura. Kwani matokeo ya kura za urais kura halali ni karibu 40,000 na Magufuli anatajwa kupata 35,310 huku Lowasa akitajwa kupata 7,928! lakini katika matokeo ya ubunge kwenye jimbo hilohilo jumla ya kura halali ni 20,522 na mshindi ambaye ni january makamba amepata kura 17,805 ambapo aliyemfuatia ana kura 2403.
Maana yake kuna watu zaidi ya 20,000 walipiga kura za urais lkn hawakupewa karatasi za kura za ubunge!

Yaani Hata kuiba hawajui


Kura za maoni za CCM hizo, tusijichanganye wajameni
 
Ngome za Lowassa zimebaki mkoa wa Mitandaoni wenye majimbo haya.JF.Whatsapp.Facebook.Instagram.Twitter.Blogs uchwara.Mwanahalisi.
 
Msituandae kisaikolojia nyie, tulieni ngoma bado mbichi hii

hivi wewe unajielewa kweli mwenye mwenye mbwa Mbowe hayakubali matokeo halafu wewe unasema ni mbichi tafakali kwanza halafu urudi upya
 
Angalia hizo asilimia
 

Attachments

  • 1446007156445.jpg
    1446007156445.jpg
    34.2 KB · Views: 57
Ni kweli jimbo hili NEC imeshatangaza matokeo yake kwa ngazi ya uraisi?
maana nimeona press conference ya UKAWA jana wakilalamika wameibiwa kura zao naomba mwenye ushahidi wa kutangazwa kwake atuwekee hapa.
 
Mawaziri 9 kupigwa chini ni ishara tosha kabisa kwamba hamtakiwi tena. Bado majimbo kama 30 hivi mmepoteza bado unainua mdomo juu? Ningekuwa weewe ningekuwa nimechutama msemo mkongwe muungwana akivuliwa nguo hasimami. Ila wewe ndio kwanza unachanja mbuga wattoto wanakukodolea macho wanakushangaa huyu babu vipi??????

Kwa mtu ambae hasikilizi matokea yanayotangazwa na NEC kwa umakini ataweza kuogopa sana hizo takwimu zako za mawaziri 9 na majimbo 30
 
Back
Top Bottom