Alphaking2023
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,093
- 2,121
Wanatangaza tbc mbona
Tbc ipi hiyo?
Wanatangaza tbc mbona
Mi nikajua labda kuna njia nyingine kama kuingia msituni? Kwa upande wa kura, sahau, kwanza ndo dozi kali inafuata! Mpaka sasa Magufuli kamuacha lowassa 1.6, kilimanjaro na Arusha tayari, Mbeya nimegundua ni porojo tu za ukawa, sio ngome ya chadema! Ukitoa mbeya mjini.Dalili za urais kwa lowassa zilionekana tangu yuko ccm na baada ya kujikomboa sasa ni wazi kuwa atapata urais kwa haki..
Huu ni wakati ambao NEC-CCM wanajishauri kutangaza matokeo yaliyobaki baada ya kuona lowassa kampita magufuli katika kura zilizobaki wapo wanashauriana wakatangaze au wachakachue kabisa ila wanashindwa kuchakachua kwa sasa kelele za wanamabadiliko zimekuwa nyingi hawana jinsi itabidi waje watangaze tu..
Walisema watatangaza saa tatu asubuhi hadi wakati huu saa 5 hii bado hawajatangaza nini maana yao baada ya kuona lowassa atashangaza watu kwa kura nyingi alizopata katika majimbo yaliyosalia..
Tunaomba matokeo ili lowassa atangazwe kwa kishindo ushindi wa kusawazisha na kuongeza amin nawaambia lowassa asipotangazwa rais wa tanzania kuna hujuma nyingi sana zimefanyika ila leo hadi kieleweke tunataka lowasa atangazwe rais wetu
una umri gani maana tusijekuwa tunabishana na mtu hata umri wa kupiga kura hujafikisha
Wamemaliza kutangaza tbc naona,walikuwa wakitangaza
Lowasa atabaki kuwa rais wangu hata mwingine akiapishwa
Mkuu...
Hadi sasa Magufuli ana KURA 6.1 MILIONI...
Lowassa ana kura 4.3 milioni...!!!
Pamoja na kuchakachua kote.. ila sasa majimbo yaliobakia wamekwama kutangaza, sbb Lowassa ataziba hilo gap...!!! Trust me...!!
Nina imani na Lowasa na cjawai kata tamaa hata siku moja hata likibak jimbo moja na maguful anaongoza kwa kura milioni 10 bado Nina I
Dogo unachekesha kweli, Lowassa mwenyewe ameshaingiza upepo tayari na ameshasema eti ameibiwa kura. Magufuli ni rais tayari anasubiria tu kuapishwa. Lakini sio vibaya ukiendelea kuota ndoto za mchana. Una haki ya kuota dogo. mpaka sasa hivi CCM wana viti vya ubunge 130 na CHADEMA wana viti 30 tu. Yamebakia majimbo 69 tu. Hata kama CHADEMA watashinda viti vyote hivi vilivyobakia bado hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali. Na sio rahisi wakapata viti vyote hivyo 69 vilivyobakia. Hauhitaji kuwa na PHD kutambua mahesabu haya rahisi kabisa. Lakini sio vibaya kuota, wewe endelea kuota. #HapaKaziTuDalili za urais kwa lowassa zilionekana tangu yuko ccm na baada ya kujikomboa sasa ni wazi kuwa atapata urais kwa haki..
Huu ni wakati ambao NEC-CCM wanajishauri kutangaza matokeo yaliyobaki baada ya kuona lowassa kampita magufuli katika kura zilizobaki wapo wanashauriana wakatangaze au wachakachue kabisa ila wanashindwa kuchakachua kwa sasa kelele za wanamabadiliko zimekuwa nyingi hawana jinsi itabidi waje watangaze tu..
Walisema watatangaza saa tatu asubuhi hadi wakati huu saa 5 hii bado hawajatangaza nini maana yao baada ya kuona lowassa atashangaza watu kwa kura nyingi alizopata katika majimbo yaliyosalia..
Tunaomba matokeo ili lowassa atangazwe kwa kishindo ushindi wa kusawazisha na kuongeza amin nawaambia lowassa asipotangazwa rais wa tanzania kuna hujuma nyingi sana zimefanyika ila leo hadi kieleweke tunataka lowasa atangazwe rais wetu
Mkuu kahtaan umenena.
Viongozi nao wana mioyo ya nyama kama sisi na kimsingi wote tunategemeana lakini wananchi ndio force kubwa zaidi. Tatizo kubwa investment kubwa iliyofanyika Tanzania ni katika ujinga na itatutesa kweli. Mtu mwenye uelewa (elimu) wa kweli anaweza kuwa na maono kuwa nitashinda njaa siku tatu lakini matokeo ya hiyo njaa yanaweza kunipa shibe ya miaka mitatu.
Nimeona juzi tu Afrika kusini (sawa wametutangulia) wanafunzi wamezuia kuongezwa karo na wakafanikiwa kwa asilimia 100.
Huwezi kupata msaada wa kupambana na magari ya washawasha na mabomu endapo utaishia tu kutii ile amri ya "ukidai chako utakiona", ukiamua kuandamana kwa mfano ndipo utagundua kuwa aliyekutishia 'utakiona' sio yeye anayerusha mabomu bali kawaweka mbele vijana ambao ni watoto wa masikini na wana njaa kama mimi na wewe! Na hapo mtaungana kudai hizo haki pamoja. Ukikaa tu chini hakuwezi kuwa na matokeo, kinyume cha hapo tuendelee kukaa na kuishia kusema 'wamechakachua' wakati tukijua (sina uhakika kama tunajua hili) kura yako ndio haki pekee na kuu katika maamuzi ya nchi.
hawatendi haki kabisa hawa jamaa kila kitu wanafanya kwa maslahi yao tu hawamwogopi hata Mungu
Wenzio waandaa mavazi ya kuvaa siku ya kuapishwa Magufuli wewe unakuja na habari za kinyumenyume tena.
Dogo unachekesha kweli, Lowassa mwenyewe ameshaingiza upepo tayari na ameshasema eti ameibiwa kura. Magufuli ni rais tayari anasubiria tu kuapishwa. Lakini sio vibaya ukiendelea kuota ndoto za mchana. Una haki ya kuota dogo. mpaka sasa hivi CCM wana viti vya ubunge 130 na CHADEMA wana viti 30 tu. Yamebakia majimbo 69 tu. Hata kama CHADEMA watashinda viti vyote hivi vilivyobakia bado hawatakuwa na uwezo wa kuunda serikali. Na sio rahisi wakapata viti vyote hivyo 69 vilivyobakia. Hauhitaji kuwa na PHD kutambua mahesabu haya rahisi kabisa. Lakini sio vibaya kuota, wewe endelea kuota. #HapaKaziTu
Lowasa atabaki kuwa rais wangu hata mwingine akiapishwa