Oyeee!ccm oyee
Oyeee!ccm oyee
I see.....Haya naeneo nayajua vema hakuna vijiji zaidi ya hivi
Nilisema na nitaelea kusema, uchaguzi uliisha na leo ni uthibitisho tuu!, lakini kama matokeo ya vituo vyote zaidi ya kumi vya mwanzo, hakuna hata kimoja CCM ilishinda, hiki sio kipigo cha mbwa mwizi?.Hakika Pasco wewe ni mnafiki mkubwa.....
Hivi si wewe kuna kipindi ulisema kwamba CCM tayari(mara baada ya kumpitisha Siyoi) imeshinda jimbo la Arumeru na kinachofanyika ni kufuata utaratibu tu.....
Halafu......Hivi ni sahihi kusema CCM imepata kiigo cha mbwa mwizi kwa matokeo ya vituo visivyozidi 100 ilhali jimbo lina vituo zaidi ya 300?....
Hypocrisy???.....
Nilidhani ni laptop yangu kumbe naona mtandao umelewa. Pongezi kwa wana JF inaonyesha how successful mtandao ulivyo.Hii ni balaa leo! Yaani mpaka server ya JF meelemewa! Kila nijaribu kufungua page nakutana na Data Error! Hongera peoples power!!!!!! Na bado lazima hao CHICHIEMU watafute pa kujificha mwaka huu hapo bado 2015!
Wewe ni mnafiki.....Period.Nilisema na nitaelea kusema, uchaguzi uliisha na leo ni uthibitisho tuu!, lakini kama matokeo ya vituo vyote zaidi ya kumi vya mwanzo, hakuna hata kimoja CCM ilishinda, hiki sio kipigo cha mbwa mwizi?.
Tuendelee kuitana majina na kunyoosheana vidole, wakati wa kuheshimiana ukifika, tutaheshimiana tuu!.
Nilisema na nitaelea kusema, uchaguzi uliisha na leo ni uthibitisho tuu!, lakini kama matokeo ya vituo vyote zaidi ya kumi vya mwanzo, hakuna hata kimoja CCM ilishinda, hiki sio kipigo cha mbwa mwizi?.
Tuendelee kuitana majina na kunyoosheana vidole, wakati wa kuheshimiana ukifika, tutaheshimiana tuu!.