Vipo vituo 327 katika kata 17wakuu vituo jumla viko vingapi?
kwani vijijini wanaishi mataahira?, nisaidie mkuu.
hivi hao wazee na akina mama hawapo bukombe, ukerewe, hai, na kigoma? Vipi huko kote hakuna vijiji?...masikitiko ni kwamba waliopiga kura wengi ni wazee na kinamama, na zaidi matokeo mengi tunaypewa ni vituo vya mjini,,,,
Kuipigia kura CCM ni lazima uwe na akili za kiwendawazimu
Asante!.Wewe ni mnafiki.....Period.
Tena mpotoshaji mkubwa.....
unalala mapema hivi, lazima unaogopa pressure wewe.Kumbe source kubwa ya matokeo ni ITV? naona baada ya ITV kutoendelea Kutoa matokea li sredi limepaya...
Ngoja nilale zangu!!
Hayo yako mkuu..kwa taarifa yako Akheri CCM wamelia xaana....