Katika kata ya Olinde
Kituo A CCM 1480 chadema 45
B CCM 345 chadema 243
c ccm 578 chadema 123
Ushindi kwa CCM ni lazima japokuwa Siipendi
CCM wataiba tuu
Sure mkuu!!!Msiwe na haraka kuna vituo zaidi ya mia tatu
m4c ndo mdudu gani?
Mbona wana chadema wamekimbia jukwaa ?
Ni vigumu sana kumuelewa Pasco wakati mwingine.Anajua kabisa haya matokeo ya awali hayatoi picha halisi kwa upinzani kama itaibuka kidedea.Mtazamo wangu, Pasco anachofanya hapa ni kufariji watuHakika Pasco wewe ni mnafiki mkubwa.....
Hivi si wewe kuna kipindi ulisema kwamba CCM tayari(mara baada ya kumpitisha Siyoi) imeshinda jimbo la Arumeru na kinachofanyika ni kufuata utaratibu tu.....
Halafu......Hivi ni sahihi kusema CCM imepata kiigo cha mbwa mwizi kwa matokeo ya vituo visivyozidi 100 ilhali jimbo lina vituo zaidi ya 300?....
Hypocrisy???.....
Mbona wana chadema wamekimbia jukwaa ?
Mara zote CCM ikitoa kipigo kwenye uchaguzi, utetezi wa magwanda huwa ni ...kuibiwa kura....kuchakachua matokeo....bla bla....
Tulia, subiri kipigo. Kwa wenye kuangalia mambo ya nyakati...it was obvious kwamba ITAKULA KWA CHADEMA.
Wa-Tz si wajinga!
Hali sio nzuri tena, mi niliwaambia wanaanza USA river sehemu ambayo ccm wanazomewa kila siku?Mbona wana chadema wamekimbia jukwaa ?