Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,299
Hivi kuna tatizo gani JF wakuu?.....Naona button ya New Post haipo na pia orodha ya watu wanaoibrowse hii post haipo..!!!
umeona ee
Hivi kuna tatizo gani JF wakuu?.....Naona button ya New Post haipo na pia orodha ya watu wanaoibrowse hii post haipo..!!!
mungu akubariki na wewe pia .
Hivi kuna tatizo gani JF wakuu?.....Naona button ya New Post haipo na pia orodha ya watu wanaoibrose hii post haipo..!!!
Ni kweli,pale akheri! Ccm wameipita chadema zaidi ya kura 400,na hofu yangu ni kuwa tofauti hii inacover tofauti ya kura zote ambazo Cdm wameipita ccm katika matokeo tuliyoyaona hapa!Tofauti ya kura 400 tu acha uongo wewe gamba!
shen*zi
Tofauti ya kura 400 tu acha uongo wewe gamba!
Mbona jamvi limebadilika wakuu ?
CHADEMA mpaka sasa imechukua viti 3 vya udiwani Lizaboni-Songea, Kiwira-Mbeya na Kirumba-Mwanza. CUF imeshinda Msambweni-Tanga
Si lazima ujibu kila Post mkuu...mkuu hii si ni post tayari? unataka kuposti kwenye posti?
CHADEMA mpaka sasa imechukua viti 3 vya udiwani Lizaboni-Songea, Kiwira-Mbeya na Kirumba-Mwanza. CUF imeshinda Msambweni-Tanga