Siamini kama ulikuwa macho!! Nadhani ulikuwa unaota ...leo tarehe 28 mida ya sa 1 ucku...nimekaa home ghafla nje naskia kelele...nauliza nn?!jibu nililopata results 4m 4 tayr...kabla cjakurupa wana jf na wanaskonga em nambieni pana paukweli hapa kuhusu hili?!!
Server ya NECTA imeingia virus,hivyo matokeo yote yamefutika..sasa wanafanya process ya kuyadigitalize upya