Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,294
- 8,327
Hapana, nadhani hizo dakika 17 ulimaanisha matokeo yatatangazwa saa 4 asubuhi right?...Mpaka sasa hivi zimebaki dakika kama 17 tu ili matokeo yatangazwe.
Ngumu kwa sasa, yani wameanza upya, kuhesabu kura moja moja, kituo baada ya kituo ili kila mmoja aridhike.
Kazi ipo!