Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,323
- 17,826
Kinachoendelea sasa ni kuwa ndani ya hiki chumba cha kujumlishia kura ccm wanasema kuwa tuanze kuhesabu matokeo ya kituo kwa kituo na walipotakiwa kutoa fomu za matokeo wanasema kuwa hawana kwani mawakala wao walitekwa na kunyanganywa fomu hizo .
Na wanataka yahesabiwe masanduku ya kata ya Kalenge ambayo yamefikishwa mjini asubuhi hii baada ya kutokufikishwa jana kama inavyotakiwa huku tume ikisema kuwa gari hilo liliharibika njiani, wasiwasi ni kuwa huenda mabox yalibadilishwa, malumbano yanaendelea .
ohooo..mkuu hapo I can sense kaujanja ujanja tayari!