Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

Napenda kumtahadharisha Malicela kwamba kama unaunga mkono wahuni na wahalifu (Green Guards) na wewe pia ni mhuni na mhalifu. Tunakushauri upumzike kwa amani na kurekebisha uhusiano wako na Mungu wako katika uzee wako.
 
hureeeeeeeeeeeeeeee Chadema,naimani icho kiti tayari kimechukuliwa na chadema.hivi ina maana chama cha upinzani ni chadema pekee nchi hii? NCCR,CUF,TLP viko wapi?
 
Hahha nna mdogo wangu yupo tume ya uchaguzi na yeye yupo Biharamulo nimempigia sasa hivi hataki kusema imekuwaje maana yeye ni CCM damu hahahaha anasema matokeo bado hayajatangazwa eti hajui hahaha CCM kushne maana CHADEMA sasa mwendo mdundooo
 
Haha CCM imetutesa sana hiki chama, nakumbuka enzi za mwalimu kushika Utamu(HATAMU) eti hupati passport mpaka uwe mwanachama wa CCM gadem zao wish one day tuwaone wakitoswa live km akina Chiluba au Moi ntafanya part kubwa saaaaaaaaana tuuuu
 
hivi ikitokea CCM ikitangazwa imeshinda itakuwa je hapa JF? maana naona wengi hapa ni chadema na wanafurahia takwimu zina zoonyesha chamema inaongoza
 
hivi ikitokea CCM ikitangazwa imeshinda itakuwa je hapa JF? maana naona wengi hapa ni chadema na wanafurahia takwimu zina zoonyesha chamema inaongoza

Hii thread itafungwa na kutupwa kwenye kapu la "Closed Threads"
 
Hivi CCM wakipoteza kiti hicho itapunguziwa nini katika uwakilishi wake Bungeni wenye mamia ya ma-yes men walioshika mihuri kuitumia kwa chchote serikali ikipeleka? Bora apate huyu wa Chadema ili Bunge lichangamke?
 
Hapo Mzee Mwanakijiji naona umevuruga Kiswahili changu. Nielewavyo mimi serikali mbadala ni shadow government. Na chama mbadala ni chama kinachoongoza serikali mbadala.

In practice, Chadema tayari ni chama mbadala. Kinataka kijijenge ili kiwe chama tawala Yaani kiwe chama tawala badala ya hiki cha CCM. Kikshakuwa chama tawala hakiwi tena chama mbadala..
 
Sasa majumuisho ni ya nini tena kama kura zimesha hesabiwa???
Mimi naona kuna namna inayotakiwa kufanywa hii sio bure.
Ndivyo inavyotamka sheria ya uchaguzi. Kura za kila kituo zinahesabiwa hapo hapo kituoni na matokeo yanabandikwa.
Matokeo rasmi yanatolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi pekee kupitia kwa Msimamizi wa Uchaguzi.
Hivyo matokeo rasmi, bado, matokeo haya unayayoyaona sio matokeo rasmi, ni matokeo ya vyama kujijumlishia yale mabandiko ya vituo mbalimbali.
Ndio maana hujamsikia Mnyika, Zitto wa Dr. Slaa akishuka humu, wote wako Bi'mulo na wana JF wengine 4.
 
Hivi CCM wakipoteza kiti hicho itapunguziwa nini katika uwakilishi wake Bungeni wenye mamia ya ma-yes men walioshika mihuri kuitumia kwa chchote serikali ikipeleka? Bora apate huyu wa Chadema ili Bunge lichangamke?

Mkuu unajua kuwa mwakani 2010 kuna uchaguzi mkuu??? Hii yote inaashiria kuwa Watanzania ambao wengi tulikuwa tumelala sasa tumeanza kuamka. Hivyo basi Kama CHADEMA wakipata ushindi, itaongeza juhudi za kuakikisha kuwa mwakani wanapata viti vingi vya ubunge na kuweza kuidhohofisha CCM.
 
Binafsi nimefurahishwa na wanaBhlo. Wamechagua vizuri. Message sent. CCM imekiuka misingi yake. Haina wa kumlaumu 2010. Baba wa Taifa alikijenga chama kwa kumlenga mtanzania wa kawaida, mkulima na mfanyakazi. Leo wana mdau tofauti wanayempigania. Najua sio rahisi kuwashinda kwenye URAIS. Ila dalili ni njema. Wakishapoteza wabunge idadi ya kutosha, ndipo watachangamka. Wataogopa hata kutetea mafisadi hadharani.
 
Ndonde nilidhani mtafanya maandamano kupinga ushindi huo,sasa thread ikifungwa itasaidia vipi kupatikana kwa haki?

tumsam, wewe umeuliza humu JF itakuwaje, na mimi nimekujibu kama ulivyouliza. kama ungeuliza kuwa hapa Tanzania kama CCM wakishinda CHADEMA itafanyaje? Nadhani ungepatiwa jibu mwafaka kabisa.
 
Chadema i base sana kwenye kutafuta idadi kubwa ya wabunge mwaka 2010 ili CCM isiwe na mandate bungeni kwa kuwa na wabunge wengi na kujiamlia mambo wenyewe, hapo nadhani tukifanikiwa 2010 kuwa na wabunge wengi zaidi 2015 Urais CCM wanang'oka bila kupingwa
 
Chadema i base sana kwenye kutafuta idadi kubwa ya wabunge mwaka 2010 ili CCM isiwe na mandate bungeni kwa kuwa na wabunge wengi na kujiamlia mambo wenyewe, hapo nadhani tukifanikiwa 2010 kuwa na wabunge wengi zaidi 2015 Urais CCM wanang'oka bila kupingwa

Hii mandate unayoisema ndio iliyotokea kwenye Budget ya Wizara ya Miundo Mbinu.
 
Chadema i base sana kwenye kutafuta idadi kubwa ya wabunge mwaka 2010 ili CCM isiwe na mandate bungeni kwa kuwa na wabunge wengi na kujiamlia mambo wenyewe, hapo nadhani tukifanikiwa 2010 kuwa na wabunge wengi zaidi 2015 Urais CCM wanang'oka bila kupingwa

Bravo mkuu, Point taken...

TANZANIA BILA YA CCM INAWEZEKNA, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Ndivyo inavyotamka sheria ya uchaguzi. Kura za kila kituo zinahesabiwa hapo hapo kituoni na matokeo yanabandikwa.
Matokeo rasmi yanatolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi pekee kupitia kwa Msimamizi wa Uchaguzi.
Hivyo matokeo rasmi, bado, matokeo haya unayayoyaona sio matokeo rasmi, ni matokeo ya vyama kujijumlishia yale mabandiko ya vituo mbalimbali.
Ndio maana hujamsikia Mnyika, Zitto wa Dr. Slaa akishuka humu, wote wako Bi'mulo na wana JF wengine 4.

Pasco, hapa nimeongea na Zitto akanambia hivi:

Imetubidi kujumlisha upya matokeo, tumerudia mara ya pili tukapata hivi:

CHADEMA: 17,313

CCM: 16,682

TLP: 187

Lakini CCM wanatwambia wametushinda kwa tofauti ya kura 1,700 kitu ambacho hatukubaliani nacho, tunarudia kuhesabu mara ya 3!

Kaaazi kwelikweli
 
pasco, hapa nimeongea na zitto akanambia hivi:

Imetubidi kujumlisha upya matokeo, tumerudia mara ya pili tukapata hivi:

Chadema: 17,313

ccm: 16,682

tlp: 187

lakini ccm wanatwambia wametushinda kwa tofauti ya kura 1,700 kitu ambacho hatukubaliani nacho, tunarudia kuhesabu mara ya 3!

Kaaazi kwelikweli

sasa wametushinda kivipi???? Nasikia harufu ya ufisadi.
 
Back
Top Bottom