Its 51% CCM No.2 Vs 48% CCM No.1
Wakuu, unajua sasa nadata, ina maana ndo tayali 51% mbadala Vs Fisadi 48% ??
kuna kata naneJimbo zima lina kata ngapi? Au ndiyo hizo saba???? Tafadhali fafanua
ni saa tatu na nusu usiku jamani hakijaeleweka tu?
Presha inapanda presha inashuka, popcorn zimepoa haziliki. Matokeo kamili bado?
Mabadiliko yoyote yanawezekana, lakini ushindi uwe wa CCM au CHADEMA utakuwa mwembamba ambao unauma sana. Nasikia imebakia kata moja ambapo CCM ni LAZIMA washinde vinginevyo mambo yatakuwa mabaya kwao.msije mkaanza shamra shamra mapema kabla ya kupata matokeo rasmi. CCM ni chama kubwa yanaweza kutokea maajabu sekunde za mwishoni kabisa na mambo yakabadilika kabisa.
hizo percent 51 vs 48, gap lake ni kubwa kiasi gani? maana kama gap ni dogo wizi ndani ya vituo vinne vya vijijini vinatosha sana kufunika hilo gap.
Mabadiliko yoyote yanawezekana, lakini ushindi uwe wa CCM au CHADEMA utakuwa mwembamba ambao unauma sana. Nasikia imebakia kata moja ambapo CCM ni LAZIMA washinde vinginevyo mambo yatakuwa mabaya kwao.
Mpaka sasa matokeo yako hivi...
CHADEMA kura 14,500
CCM kura 14,115
Bado kuna vituo 6 tu vimebaki.
Pasco anaomba radhi kwani network imekuwa tatizo hivyo anaweza kurejea hapa baada ya saa moja hivi.
Nitawafahamisha kinachoendelea punde...
kwisha kazi.....Mpaka sasa matokeo yako hivi...
CHADEMA kura 14,500
CCM kura 14,115
Bado kuna vituo 6 tu vimebaki.
Mabadiliko yoyote yanawezekana, lakini ushindi uwe wa CCM au CHADEMA utakuwa mwembamba ambao unauma sana. Nasikia imebakia kata moja ambapo CCM ni LAZIMA washinde vinginevyo mambo yatakuwa mabaya kwao.
Mpaka sasa matokeo yako hivi...
CHADEMA kura 14,500
CCM kura 14,115
Bado kuna vituo 6 tu vimebaki.
Pasco anaomba radhi kwani network imekuwa tatizo hivyo anaweza kurejea hapa baada ya saa moja hivi.
Nitawafahamisha kinachoendelea punde...
Mabadiliko yoyote yanawezekana, lakini ushindi uwe wa CCM au CHADEMA utakuwa mwembamba ambao unauma sana. Nasikia imebakia kata moja ambapo CCM ni LAZIMA washinde vinginevyo mambo yatakuwa mabaya kwao.
Mpaka sasa matokeo yako hivi...
CHADEMA kura 14,500
CCM kura 14,115
Bado kuna vituo 6 tu vimebaki.
Pasco anaomba radhi kwani network imekuwa tatizo hivyo anaweza kurejea hapa baada ya saa moja hivi.
Nitawafahamisha kinachoendelea punde...
mkuu unakuwa na kauli za kikenya.....punguza munkari.....leta matokeo kwa mtiririko fasaha unatuchanganya wafuatiliaji........nadhani kitaeleweka tu