Mathayo atoboa siri ya kushindwa Ubunge

Mathayo atoboa siri ya kushindwa Ubunge

Technician

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2010
Posts
841
Reaction score
224
na Sitta Tumma, Musoma


MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Vedastus Mathayo, ametoa siri ya
kushindwa kwake nafasi hiyo, huku akilia na propoganda zilizoenezwa dhidi yake.
Amesema, kuangushwa kwake na mbunge wa sasa, Vincent Nyerere (CHADEMA), katika uchaguzi mkuu uliopita 2010 kumetokana na kile alichokiita kupakaziwa maneno na kuundiwa fitina zisizokuwa na ukweli ndani yake.
Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Mukendo, Mathayo ambaye alikuwa akizungumza huku akikatizwa kwa kuzomewa mkutanoni hapo, alisema miongoni mwa tuhuma alizokuwa akitupiwa wakati wa kampeni ni kuhusu madai ya kujimilikisha viwanja katika maeneo mbali mbali ya miradi mjini hapa.
"Nilipakaziwa na kuundiwa zengwe zisizokuwa na ukweli," alisema kisha kuzomewa. Baada ya kuzomewa akasema tena: "Ninyi pigeni kelele tu, Chroloquine ni chungu lakini inaponya," akazomewa tena.
Katika mkutano huo uliomalizika saa 12:15 jioni, chini ya ulinzi mkali wa askari wa Kutuliza Ghasia (FFU), mjumbe huyo wa NEC, Mathayo, alitumia fursa hiyo kuwaasa vijana kuachana na kile alichokiita 'ushabiki' wa kisiasa.
 
na Sitta Tumma, Musoma


MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Vedastus Mathayo, ametoa siri ya
kushindwa kwake nafasi hiyo, huku akilia na propoganda zilizoenezwa dhidi yake.
Amesema, kuangushwa kwake na mbunge wa sasa, Vincent Nyerere (CHADEMA), katika uchaguzi mkuu uliopita 2010 kumetokana na kile alichokiita kupakaziwa maneno na kuundiwa fitina zisizokuwa na ukweli ndani yake.
Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Mukendo, Mathayo ambaye alikuwa akizungumza huku akikatizwa kwa kuzomewa mkutanoni hapo, alisema miongoni mwa tuhuma alizokuwa akitupiwa wakati wa kampeni ni kuhusu madai ya kujimilikisha viwanja katika maeneo mbali mbali ya miradi mjini hapa.
"Nilipakaziwa na kuundiwa zengwe zisizokuwa na ukweli," alisema kisha kuzomewa. Baada ya kuzomewa akasema tena: "Ninyi pigeni kelele tu, Chroloquine ni chungu lakini inaponya," akazomewa tena.
Katika mkutano huo uliomalizika saa 12:15 jioni, chini ya ulinzi mkali wa askari wa Kutuliza Ghasia (FFU), mjumbe huyo wa NEC, Mathayo, alitumia fursa hiyo kuwaasa vijana kuachana na kile alichokiita 'ushabiki' wa kisiasa.

Ulinzi mkali wa nini sasa kama wewe unakubalika?
 
na Sitta Tumma, Musoma


MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Vedastus Mathayo, ametoa siri ya
kushindwa kwake nafasi hiyo, huku akilia na propoganda zilizoenezwa dhidi yake.
Amesema, kuangushwa kwake na mbunge wa sasa, Vincent Nyerere (CHADEMA), katika uchaguzi mkuu uliopita 2010 kumetokana na kile alichokiita kupakaziwa maneno na kuundiwa fitina zisizokuwa na ukweli ndani yake.
Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Mukendo, Mathayo ambaye alikuwa akizungumza huku akikatizwa kwa kuzomewa mkutanoni hapo, alisema miongoni mwa tuhuma alizokuwa akitupiwa wakati wa kampeni ni kuhusu madai ya kujimilikisha viwanja katika maeneo mbali mbali ya miradi mjini hapa.
"Nilipakaziwa na kuundiwa zengwe zisizokuwa na ukweli," alisema kisha kuzomewa. Baada ya kuzomewa akasema tena: "Ninyi pigeni kelele tu, Chroloquine ni chungu lakini inaponya," akazomewa tena.
Katika mkutano huo uliomalizika saa 12:15 jioni, chini ya ulinzi mkali wa askari wa Kutuliza Ghasia (FFU), mjumbe huyo wa NEC, Mathayo, alitumia fursa hiyo kuwaasa vijana kuachana na kile alichokiita 'ushabiki' wa kisiasa.

Kwanini hawa FFU hawakumkamata?
 
Izi dakika 15 zilizozidi vip? Mbona hakukamatwa kwa kuzidisha muda wa 12:00 kwa sababu nakumbuka Zitto alikamatwa kwa kuzidisha dkk 20. Sheria si msumeno eeh?
 
NEC!? Siyo kuwa alikuwa mjimbe kwa nafasi ya Ubunge, hivyo hapaswi kuwa NEC tena au Katiba ya CCM ilibadilishwa?
 
yeye ni nani by the way? wameshindwa kina mramba sembuse yeye?
 
na Sitta Tumma, Musoma MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Musoma Mjini mkoani Mara na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Vedastus Mathayo, ametoa siri ya kushindwa kwake nafasi hiyo, huku akilia na propoganda zilizoenezwa dhidi yake. Amesema, kuangushwa kwake na mbunge wa sasa, Vincent Nyerere (CHADEMA), katika uchaguzi mkuu uliopita 2010 kumetokana na kile alichokiita kupakaziwa maneno na kuundiwa fitina zisizokuwa na ukweli ndani yake. Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Mukendo, Mathayo ambaye alikuwa akizungumza huku akikatizwa kwa kuzomewa mkutanoni hapo, alisema miongoni mwa tuhuma alizokuwa akitupiwa wakati wa kampeni ni kuhusu madai ya kujimilikisha viwanja katika maeneo mbali mbali ya miradi mjini hapa. "Nilipakaziwa na kuundiwa zengwe zisizokuwa na ukweli," alisema kisha kuzomewa. Baada ya kuzomewa akasema tena: "Ninyi pigeni kelele tu, Chroloquine ni chungu lakini inaponya," akazomewa tena. Katika mkutano huo uliomalizika saa 12:15 jioni, chini ya ulinzi mkali wa askari wa Kutuliza Ghasia (FFU), mjumbe huyo wa NEC, Mathayo, alitumia fursa hiyo kuwaasa vijana kuachana na kile alichokiita 'ushabiki' wa kisiasa.
Teh! Eti CHROLOQUINE NI CHUNGU ILA CHUNGU TEH!
 
Huyu si ndiye aliyedai madawati yake baada ya kushindwa?
Gamba lililovuliwa... Hongera sana wananchi wa Musoma
 
Hivi kesi ya Mramba na Yona niaje au ulikua mtaji wa magamba, I am SORRY OFF THREAD
 
Huyu Mathayo anadhani Musoma ni mali yake? Wana Musoma angewashukuru sana kwa kumchagua mwaka 2005, kutokuchaguliwa kwake si kwamba yeye ni mbaya bali hatoshi katika viatu vya siasa za sasa. Wengi tu walipigwa chini ajue, nia ya wananchi ni kuipiga chini au kujivua gamba hili CCM lililo wang'ang'ania watanzania. Mie nadhani gamba ni CCM yenyewe na halijavuliwa bado, wananchi ndio wenye hatma ya kulivua gamba hili CCM.
 
Huyu Mathayo ni mpuuzi na uelewa wake mdogo anasaha kirahisi sana . Je anakumbuka alivyo mfanyia yule jamaa wa pride akala pesa zake na baadaye akagombea na kutaka kimfanya jamaa masikini hadi leo beef ni kubwa ? Alitumia pesa za jamaa kujenga maeneo ya musoma hadi polisi posts na kupang rangi majengo na kumzunguka ? Laana ile bado iko .Je anakubuka alicho mfanyia Ibrahim Marwa mshikaji wa JK leo ni Mkuu wa Wilaya ? Ngoma bado .Kila muosha maiti ataoshwa tu .
 
Nimecheka sana, yaani wananchi wamekuja kwa hiari yao kusikiliza natumai hapakuwa na motisha ya malori kuwasafirisha; badala ya kusikiliza hoja wanaamua kumzomea. Na hao hao ndo alitegemea wampe kura, hapo alilamba garasha/hadanganywi mtu.
 
Nimekumbuka kitu, alihutubia hadi saa 12:15 jioni, na ule msemo wa hakuna aliye juu ya sheria kumbe ni kwa ajili ya wapinzani wa kweli. Mbona tena analindwa na polisi katika kuvunja sheria wakati Mbowe wametumia milioni 50 kumkamata eti hayuko juu ya sheria. Watarudi kwetu 2015 kutuomba kura na watakoma hapo hakuna kuiba wala usanii..si tumeanza kukomaa na kujifunza mambo ya ki-musoma musoma. CCM wana tuvituko bwana.
 
Huyu jamaa kinachomtatiza ni shule; hana shule na anataka kutumia vijisenti vyake vya magendo ya mafuta na nyama kuwarubuni wananchi... Wamekushtukia.. hapo ndipo ninapowapendea Wanamusoma.... Ukiwa na malaria sio lazima utumie Chloroquine chungu siku hizi kuna dawa chungu tele... Wacha vijimisemo vyako vya ngumbalo... Halafu huyu jamaa ni msanii as anakaa na hao polisi wanaopenda rushwa kumlinda akiwapa vijembe wananchi??? Nadhani mawe hayakuwa karibu siku hio... lol
 
Izi dakika 15 zilizozidi vip? Mbona hakukamatwa kwa kuzidisha muda wa 12:00 kwa sababu nakumbuka Zitto alikamatwa kwa kuzidisha dkk 20. Sheria si msumeno eeh?
Hapo umenena, sijui FaizaFoxy yuko wapi atwambie sheria za Tanzania ni msumeno au ni panga butu
 
Back
Top Bottom