Wanakudanganya ni sawaOk. Kumbe 5×(1+(1+1)) si sawa na 5(1+(1+1))?? I thought ukiondoa tu alama ya mabano baada ya zilizopo kwenye mabano automatically alama ya kuzidisha inakuwepo.
kwa hiyo hap wewe kwa akili yako ukajaji kuwa 36 ndiyo imekosea na ya 4 ndiyo imepatia kwa sababu gani ? Pia siyo AI zote ni zakuaminika ziko zingine za uchochoroni jibu sahihi ni ilo la gpt sasa iulize kwanini jibu siyo 4 itakupa fafanuzi...endelea kutafuta vyanzo zaidiAI models kama chaGTP na Gemini large language model, zinaweza tengeneza codes na kufanya math reasoning lakini zina weakness za hapa na pale.
Ukitaka kutumia AI model ambazo zilitengenezwa kwaajili ya kufanya math bila ukakasi tumia mistral AI siyo chatGPT. nitakupa screenshot mbili hapa ya lile swali letu la 60÷5(1+(1+1))
View attachment 3319832
View attachment 3319833
Havijanitoka sana, ngoja nikamate pen na karatasi nijaribuUnakumbuka vizuri kabisa.
A÷(b(c+y))=unajua maana ya hii? Hii ndiyo hufanya unavyo fanya wewe hata kwenye calculator utapata jibu kama lakoAI models kama chaGTP na Gemini large language model, zinaweza tengeneza codes na kufanya math reasoning lakini zina weakness za hapa na pale.
Ukitaka kutumia AI model ambazo zilitengenezwa kwaajili ya kufanya math bila ukakasi tumia mistral AI siyo chatGPT. nitakupa screenshot mbili hapa ya lile swali letu la 60÷5(1+(1+1))
View attachment 3319832
View attachment 3319833
Nataka nikuoneshe makosa hizi LLM kama chatGPT kwenye math reasoning. Hapa nimeiuliza kama 87954213647 ni prime number, ona ilivyo nijibu.L
kwa hiyo hap wewe kwa akili yako ukajaji kuwa 36 ndiyo imekosea na ya 4 ndiyo imepatia kwa sababu gani ? Pia siyo AI zote ni zakuaminika ziko zingine za uchochoroni jibu sahihi ni ilo la gpt sasa iulize kwanini jibu siyo 4 itakupa fafanuzi...endelea kutafuta vyanzo zaidi
Sijakuelewa hapo?Humu vipi?
Tatizo lako ni kushindwa kuwa mdadisi ulitakiwa kuichareji kuhusu unachujua wewe tofauti na inavyo sema yenyewe ...unaweza kudhani imekosea kumbe wewe ndiyo kichwa panziNataka nikuoneshe makosa hizi LLM kama chatGPT kwenye math reasoning. Hapa nimeiuliza kama 87954213647 ni prime number ona ilivyo nijibu.
View attachment 3319846
View attachment 3319847
Tatizo lako ni kushindwa kuwa mdadisi ulitakiwa kuichareji kuhusu unachujua wewe tofauti na inavyo sema yenyewe ...unaweza kudhani imekosea kumbe wewe ndiyo kichwa panzi
Hayo mambo ya factor mimi haya nihusu mimi nazungumzia hoja ile ya kwanza kwa hiyo Google calculator ndiyo ilikupa jibu tofauti na mimi nilivyo sema ..... dalili ya kwanza ya kwamba ujui hesabu ni kushindwa kujua logic ya hesabu nilikuulizeni kwanini BODMAS iwe ilivyo m amkunijibu ...sasa nataka unijibu je ikiwa njia niliyo kutoa mimi ndiyo sahihi wewe utasemaje baada ya hapo ....View attachment 3319863
Hilo la kudadisi nilishalifanya kwa kuiambia kuwa "7 is not a factor" na utaona hapo kwenye google calculator nilipofanya simple division. Sasa nani hapo kichwa panzi kama siyo wewe?
Sijakuelewa hapo?
View attachment 3319863
Hilo la kudadisi nilishalifanya kwa kuiambia kuwa "7 is not a factor" na utaona hapo kwenye google calculator nilipofanya simple division. Sasa nani hapo kichwa panzi kama siyo wewe?
Safi sana, mara ya mwisho kufanya haya makitu lini?Humu vipi
Wewe ulihoji yaani AI zote zikosee? Kwa kusema hivi;Hayo mambo ya factor mimi haya nihusu mimi nazungumzia hoja ile ya kwanza kwa hiyo Google calculator ndiyo ilikupa jibu tofauti na mimi nilivyo sema ..... dalili ya kwanza ya kwamba ujui hesabu ni kushindwa kujua logic ya hesabu nilikuulizeni kwanini BODMAS iwe ilivyo m amkunijibu ...sasa nataka unijibu je ikiwa njia niliyo kutoa mimi ndiyo sahihi wewe utasemaje baada ya hapo ....
Na mimi nikakuonyesha kuwa AI zinakosea na nikakupa AI models mbili tofauti, moja ya general purpose chatting (chatGPT) nyingine iliyotengenezwa kwaajili ya hisabati zaidi (Mistral).Yaani calculator zote ulimwengu zikosee na AI zote zikosee at same time? Na mimi genius nikosee ...unajua madhara ya computer kukosea hiyo hesabu kiinjinia?
😁😁😁Calculator zote zikosee na AI zote zikosee swali ilo ilo moja tu kwa hiyo wasomi wote duniani waliounda Calculator awakuona ilo kosa ila wewe.Wewe ulihoji yaani AI zote zikosee? Kwa kusema hivi;
Na mimi nikakuonyesha kuwa AI zinakosea na nikakupa AI models mbili tofauti, moja ya general purpose chatting (chatGPT) nyingine iliyotengenezwa kwaajili ya hisabati zaidi (Mistral).
Sababu ya kukuletea habari za prime factor ni kukupa mifano zaidi jinsi AI zinanyohangaika kutoa jibu sahihi katika mamba fulani ya hisabati.
kama hujaelewa logic ya niliyoeleza basi siwezi kukusaidia, baki na ukilaza wako.
Mara 1 moja nafanya, japo shule nimeua Kitambo saana mkuu, yaoata kama miaka 13 hivi.,kuna baadhi ya topic hazijanitoka.Safi sana, mara ya mwisho kufanya haya makitu lini?
Watumiaji wa jf wengi mpo dsm, wachache tulio nje ya hapoHahaha!
Mkuu, una uhakika hao uliotutaja tupo Dsm?
Mimi ni miongoni mwa tulio nje ya Daslama.Watumiaji wa jf wengi mpo dsm, wachache tulio nje ya hapo