Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 17,212
- 80,120
Ndiyo:Hata isingekuwa 0 mfano
10-2+4= jibu linakuwa 12
-2 + 4 = 2
10 + 2 = 12.
Ndiyo:Hata isingekuwa 0 mfano
10-2+4= jibu linakuwa 12
Kuna hesabu ya pai sijui umeileta wewe imezua changamoto mimi nimesema ni (2×3.14×r)h watu wakabishaMkuu, nafikiri ni kutokuwa makini tu, 0 ni sifuri tu either +ve or -ve.
Tumekupata mkuu.
Kwenye hesabu mbali ya kujua pia umakini unahitajika. Unaweza kuwa vizuri lakini kutokuwa makini kukakupoteza.
equal to 23Wajuzi na wanazi wa vikokotoo karibuni muoneshe umwamba wenu hapa.. Kila siku kutakuwa na challenge mpya anuwaiView attachment 3311415
Z equal to 25
Ndiyo:
-2 + 4 = 2
10 + 2 = 12.
Tatizo lenu atufikii conclusion...mkitoa hesabu baadae toeni na majibuHahahaha
Leta peni na karatasi.
Jibu ni 9 ila halipo kwenye option ulizotoa.
You don't solve this, you compute.
Very debatable, ila 1 is correct.
Hakuna cha debate hapo, 2(3) ni kitu kimoja, siyo sawa na 2x3, hivyo presedency haitumiki. Ndiyo maana jibu sahihi ni 1
Upo sahihi mkuu!!Hakuna cha debate hapo, 2(3) ni kitu kimoja na siyo sawa na 2x3, hivyo presedency haitumiki. Ndiyo maana jibu sahihi ni 1
Sawa.Hata hapo kuna kosa japo jibu ni sahihi muvu yako inamakosa ...sipendagi kuonyesha kosa maana wengi wananionaga nawavuruga ila umekosea kitu.