Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,515
- 4,230
Nani? Kuna mtu alimpiga risasi? Nyoosha maelezoAliyeua sasa hivi ashahukumiwa
Nani? Kuna mtu alimpiga risasi? Nyoosha maelezoAliyeua sasa hivi ashahukumiwa
Huyo aliyefukiwa Chato, aliowaua ni wengi sanaNani? Kuna mtu alimpiga risasi? Nyoosha maelezo
Huwa ni waoga huwa wanapenda kumuabudu anaempa ugali hata dada zao wanapokuwa wanaumwa wao hupenda 'kumpa' shemeji chochote mbadala.Na ndiyo hao hao wanaosumbua maana wanaishi kwa shemeji zao
Tatizo lenu BAVICHA kwenye michango ya fedha huwa mnakimbia inabidi Lumumba tuokoe jahazi!Huna sababu ya kuchangia huku, ni heri pia kukaa kimya, maana yapo yanayokuhusu wewe, huku tuachie sisi
Mnafikia hatua ya kutaka kumzuru CAG kisa katoa report inayoonyesha ufisadi chini ya jiwe!Tatizo lenu Bavicha kwenye michango ya fedha huwa mnakimbia inabidi Lumumba tuokoe jahazi!
Neno lenye faida kwa taifa zimaMheshimiwa Rais Samia Suluhu, waachie huru hawa vijana ambao nyota zao zinazimikia kifungoni bila makosa. Wasamehe.
KashahukumiwaNani? Kuna mtu alimpiga risasi? Nyoosha maelezo
Mie sina shida kama alitumia lugha ya kuudhi au matusi changamoto ni kesi ya madawa inaingiaje hapo?Lkn pia bro tutumie lugha za busara hata tunapowakosoa watu tusiokubaliana nao,lugha ngumu na zenye ukakasi kuleta mgogoro,hata km ni ktk familia,mdude alivuka kiwango,
Nadhani ungeweka picha ya Mdude badala ya Pambalu ingependeza zaidi!
Sometimes utoto tunawekaga kando.Nadhani ungeweka picha ya Mdude badala ya Pambalu ingependeza zaidi!
Hata mambo yake ni kama hilo Nina lake mk@nduHili jina lako baada ya k ingewekwa u, badala ya a, ungeharibu sana hali ya hewa!
Hata mwendazake mdomo ulimpomza sana.Wapumbavu woote wamejaa ngeo vichwani na usoni.lkn wenye hakika woote wana sura zao halisi.mdude nyangali anapata stahiki yake,tuache ushabiki,mdude alikuwa anautumia vibaya ndomo wake,na mdomo uliponza kichwa,wachina wana msemo mmoja,mdomo ni siraha kubwa sn ukiutumia vzr unaweza kujiokoa katkati ya jeshi kubwa la wanajeshi 1000,lkn pia mdomo ukiutumia vibaya unaweza kupoteza kichwa chako,
Kuna mahari hujanielewa vzr bro,unaweza ukawa na madai ya haki,ila lugha yako ikawa ya kejeli na dharau,wenye mamlaka wanatumia mamlaka yao,ukipungukuwa hekima na busara,inakula kwako,mfano mimi na wewe hapa tumetofautiana kimtizamo,lkn mbona tunakubaliana kutokukubaliana?, mbona wewe hujatumia lugha ngumu juu yangu?,na mimi mbona sijatumia lugha zenye kukera dhidi yako,mbona tunajadiliana kwa staha na kuheshimuana?,Mie sina shida kama alitumia lugha ya kuudhi au matusi changamoto ni kesi ya madawa inaingiaje hapo?
Yaani mtu kakuibia mke unampachika murder case ni haki kweli? Kwanini asipewe kesi inayokaribiana na kosa lake mfano cybercrime ili hta mkimkaliza mahabusu nusu mwaka kama Lema it's better kuliko kesi ya madawa ambayo anakuja kuachiwa baada ya miaka 6!! Sio sawa kwa kweli tusiunge mkono hili
Ndiyo nani huyo kwanza? Sasa kama alishahukumiwa si atumikie kifungo chake kwa makosa aliyoyafanya au? Sisi inatuhusu nini? Kama aliua mtu/watu na amehukumiwa huko jela sisi wananchi inatuhusu nini? Au anatuletea maji safi au hospitali huku vijijini? Barabara je.. au ni fundi ujenzi muhimu mpaka tupoteze muda kumfikiria kwamba anahitajika kutuboreshea miundombinu na huduma bora kwa wazee huku vijijini?Kashahukumiwa