Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Mungu awalaani hawa wanaowafanyia ubaya huu wenzao, wao na watoto wao mpaka kizazi cha nne kijae laana tupu. Na wale wanaowaua wenzao kwaajili ya kufurahisha watawala. Amina
Sikushangai hata! Wote mliosoma kibaha sekondari mliharibikiwa sana vichwani Kwa kukaririshwa mafomula ya kemia na physics ambayo huku mtaani hayana dili!wacha wanyooooshwe tu mbowe lazima ale miaka
Vilaza akili hamna unategemea form 4 failure atafanya nini zaidi ya kutumia ugali.Upelelezi wa polisi nchi ni kukupiga mpaka ukiri makosa ambayo hukufanya
AminaMungu awalaani hawa wanaowafanyia ubaya huu wenzao, wao na watoto wao mpaka kizazi cha nne kijae laana tupu. Na wale wanaowaua wenzao kwaajili ya kufurahisha watawala. Amina
Komando ni asset kubwa na muhimu sana jeshini.Chupa za bia!
It’s only funny if you can imagine it!!
Nitaiweka hapa ukimbie mzee wa kisanvu kitandaniSiku hizi tuamue kuwapuuza watu Kama hawaunaweza kuwa unabishana nao jukwaani kumbe unabishana na shetani. Imagine wanatengeneza uongo halafu wanaenda kuapa kwa jina la mungu na BIBLIA au Quran imagine watu Hawa walisema lissu kajipiga risasi mwenyewe Sasa unabishana na Hawa sio watu siku hizi tuwapuuze imagine mtu anatamka macho makavu kwamba mbowe anyongwe tu lissu akija Tena tutamuuwa Hawa sio binadamu kabisa am telling you stop arguing with with them thru you they're gaining undeserved mileage.
Hao ni makomandoo