Mateso makubwa waliyoyapata watuhumiwa wa Ugaidi walioshitakiwa pamoja na Mbowe yanatisha, Inashangaza wamewezaje kuwa hai hadi sasa

Hata Meko Mlisema mitano tena nazani unakumbuka much 17 nini kilitokea,
Zaburi 39:4-6
“Ee Mwenyezi-Mungu, unijulishe mwisho wangu, siku zangu za kuishi zimenibakia ngapi, nijue yapitavyo kasi maisha yangu!” Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila binadamu ni kama pumzi tu! Kweli, kila mtu anapita kama kivuli; jitihada zake zote ni bure tu; anakusanya mali, asijue atakayeipata!


Kifo kipo hata wee utakufa muda ukifika,Ni ajabu kuni iliyo pembeni kuicheka kuni iliyo motoni!
 
Je wewe unayefurahia mates o na maumivu ya wengine una uhakika yanawapata wao tu. Je wewe hatayokufika kwa njia yeyote?, Hate crimes ndiyo muendelezo wa mauaji duniani. Baada ya miaka 10 utakuwa na afya Tele ya kupambana na kampeni yako ya chuki kwa jamii yako ya asili?
 
magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Una haki ya kufurahia Mateso yao lakini kumbuka hapa ni Duniani hujafa hujaumbika kama sio wewe hata Kizazi chako kitakuja Onewa kama hao Jamaa MUNGU Siku zote Malipo yake ni hapa hapa duniani
 
Baadhi ya Picha za makovu ya watuhumiwa wa Ugaidi wanaoshitakiwa pamoja na Mbowe zimeanza kuonekana hadharani , hawa watu waliteswa kinyama ! Hii nchi haikuwahi kufikia unyama kama huu , tena kwa tuhuma za uzushi zilizojaa uongo mtupu ! kisa ni Kumkomoa Mbowe , Inasikitisha sana !

Tunaomba radhi kwamba hatutaweza kuwaonyesha picha za majeraha yote , kutokana na Maadili ya Kitanzania kwa vile majeraha mengine yako maeneo yasiyoruhusiwa kuwekwa hadharani , bali itoshe tu kusema kwamba KILA ALIYEHUSIKA NA UNYAMA HUU AWE HAI AU AMEKUFA ATALIPA .

View attachment 1946196
Wewe mtu ni tatizo! Ulianza kama reporter wa Mbowe, sasa haonekani mitaani umekuwa reporter wa mahabusu. Kama ni mateso, siyo nchi hii tu! Siyo hawa tu! na wewe fahamu siku ukikamatwa, hata iwe Vatican City, hiyo ndo njia ya ku-extract information.
 
Zaburi 39:4-6
“Ee Mwenyezi-Mungu, unijulishe mwisho wangu, siku zangu za kuishi zimenibakia ngapi, nijue yapitavyo kasi maisha yangu!” Kumbe umenipimia maisha mafupi sana! Maisha yangu si kitu mbele yako. Hakika, kila binadamu ni kama pumzi tu! Kweli, kila mtu anapita kama kivuli; jitihada zake zote ni bure tu; anakusanya mali, asijue atakayeipata!


Kifo kipo hata wee utakufa muda ukifika,Ni ajabu kuni iliyo pembeni kuicheka kuni iliyo motoni!

Zaburi 90;12 Basi utufundishe kuzihesabu siku zetu tujipatie moyo wenye hekima

zaburi 90 ;10 Siku za miaka yetu ni miaka 70 na ikiwa tunanguvu ni miaka 80

Naona Leo tumeamua Tupimane Makali Kwa Kunukuu Vifungu, mtapigwa kote kote mpka akili ziwakae sawa
 
magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Hujafa hujaumbika, unachokifurahia kwa mwingine nawe kinaweza kukupata,kwa sababu zote zile usizozijua
 
nyie marafiki na magaidi inamaana na nyinyi ni magaidi wangefanikiwa huo ugaidi wao leo ungeongea hicho kinyesi chako unachoharisha hapa? kaa kimya wacha wale walichokuwa wanapanda washenzi tu hao
Wewe Ni mpumbavu sana usiye na akili. Unalopoka Gaidi. Gaidi unamjua.hipo siku maana naona mnapenda sana ugaigi. Wakati Ukifika hakuna mtu mtamwambia fulani gaidi Bali watajipambanua matendo wakati tunaokota maiti.
 
Low thinkers wanatakiwa wajufunze kuwa kesi ndogo inayoendelea mahakani ni msaada mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama kubadilika katika mafunzo na utendaji wa wahusika. Muongoze wa mafunzo vitapewa kipaumbele. Hii kesi itakuwa refer kwenye kesi nyingi miaka ijayo
 
Hivi sheria za magereza zinawaruhusu hawa kumpa maji? Je sio magereza wenyewe ndio wanaompa? Ukiondoa hii chuki yako, je maji ni kitu cha kumnyima mtu kweli? Inakigharimu shilingi ngapi!
Picha za makovu ya watuhumiwa au picha ya makovu ya mtuhumiwa? Afu picha hii umeileta leo baada ya mawakili wenu kuulizwa sababu ya kumpa Mbowe maji peke yake kila siku, huku mkiwatelekeza wenzake aliokamatwa nao. Unafiki ni kitu kibaya sana hapa dunia na ndio maana Mungu anaamua kushusha viboko vyake kwa njia hii tunayoiona mahakamani.
 
Mkuu wewe ndio ulifanya hii kazi ya kutesa? Mbona kama una hasira sana. Subirini, tutajua tu na tusipojua sisi wanadamu Mungu hatokuacha. Huwezi kutesa watu namna alafu uandike ujinga wako hapa.
nyundo ushushe wewe uliyekimbia milembe? unashabikia ugaidi unaakili timamu wewe?
 
Hivi sheria za magereza zinawaruhusu hawa kumpa maji? Je sio magereza wenyewe ndio wanaompa? Ukiondoa hii chuki yako, je maji ni kitu cha kumnyima mtu kweli? Inakigharimu shilingi ngapi!
Chuki ipi mkuu na wakati waliulizwa mawakili wa Mbowe wakashindwa kujibu!
 
Hakuna kitu kama hicho, weka mezani ushahidi wa hayo mateso, unataka kutueleza hapa wote wenye makovu wameteswa na polisi? kwa nature ya ilokuwa kazi yao wanakisa vipi makovu?
Awamu iliyopita imewafundisha kuwa makatili kuzidi hata wanyama pori, halafu hamlipwi chochote pimbi nyie... Mbaya zaidi hukumu ya haki kwa muumba wetu iko pale pale...
 
Picha za makovu ya watuhumiwa au picha ya makovu ya mtuhumiwa? Afu picha hii umeileta leo baada ya mawakili wenu kuulizwa sababu ya kumpa Mbowe maji peke yake kila siku, huku mkiwatelekeza wenzake aliokamatwa nao. Unafiki ni kitu kibaya sana hapa dunia na ndio maana Mungu anaamua kushusha viboko vyake kwa njia hii tunayoiona mahakamani.
Unamjua anaepaswa kuwapa maji na chakula watuhumiwa wanapokuwa mahakamani? nadhani hujui ndio maana umabwatuka jukumu Hilo Ni la jeshi la magereza kwa taarifa yako.
 
magaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Hakuna binadamu anayeoza akiwa hajafa. Yule mzee katili naye alidhani atafanya watu waozee jela matokeo yake yeye ndiye anayeozea kaburini. Imabaki tu akina Mange kwenda kucheza juu ya kaburi lake.
 
hahahaaa wacha wanyooooshwe tu mbowe lazima ale miaka
Mbowe akila miaka ww unafaidika nini....
Kwa hali halisi na busara ndogo tu hii kesi haikustahili kuitwa kesi ya Ugaidi....
Tuepuke Sana ushabiki na u team.....
Siasa Sio soka tuache ushabiki wa kipuuzi...
Hii kesi isinge fika huku madam president ange muita mbowe then hii issue ikawa settled...
 
Back
Top Bottom