Wewe unaetekenywa na dole gumba ni futuhuuuuMnahangaika nini kutafuta huruma kwa wananchi? acha mahakama ifanye kazi yake, mnajitekenya na kucheka wenyewe..mnafurahisha sana.
Wewe unaetekenywa na dole gumba ni futuhuuuuMnahangaika nini kutafuta huruma kwa wananchi? acha mahakama ifanye kazi yake, mnajitekenya na kucheka wenyewe..mnafurahisha sana.
ndiyo maana mimi kila siku nakunywa wine maana mbowe inavyopigiliwa mijeredi kwa back sasahivi itatoka na mtoto furaha iliyoje na mawakili ndo wanazidi kuipeleka mbele kesi maana sasahivi ni kesi ndogo bado kesi kubwa yaannimbowe wanammaliza mawakiliwake yaanini shangwe tupuKusema kweli kila tarehe 17 ya mwezi huwa nakunywa wine na nyama choma nikikumbuka mambo makubwa makuu aliyotutendea mungu.
Ile kenge ni kuni ya kuchoma wahalifu wenzake huko iliko.
nyundo ushushe wewe uliyekimbia milembe? unashabikia ugaidi unaakili timamu wewe?
Hakuna urais wa Bure katika nchi iwayo,chadema mnapenda Sana huruma ya jamii,mwambieni na yule basha kuwa 2025 ataaibika zaidi.
Amesahau mabomu ya CHADEMA ya olasiti huyu kiazi
USSR
Mkuu una akili timamu ? ni bora nijiridhishe kuhusu akili yako kwanza kabla sijakushushia nyundo
Ujue wewe jamaa nakuombea siku moja yakukute ..wewe unashangilia MTU kuteswa. SASA wametaja umefaidika na nini. Usipandishe watu hasira WALIO tesa kwani mwisho wao niipi? IPO siku nawao watesi yatawakutamagaidi hayo bila kuyafinya unafikiri yangesema ukweli mpaka kumtaja mbowe na alivyowatelekeza wakaamua kumwaga ukweli wacha waozee jela na mbowe mwenyewe jela tuu
Mkuu kwa Mungu sisi wote tupo sawa, kuwatendea wema kwa kuwapa maji kama anavyopewa mwenyekiti sio kosa.Wanaotakiwa wawape maji ni waliowabambikia kesi. Muwabambikie kesi kisha mtake wengine wawape maji?
Unavyoiongelea hii kesi kama vile una utaalam wa masuala ya usalama.
Unakumbuka Komandoo Tamimu alitumia silaha gani kupambana na risasi za akina Mabere Nyaucho?
Iache mahakama ifanye kazi yake, mnapambana kuishinikiza iwe upande wenu.
Tatizo wafuasi wa chadema hawajui kipi wakipiganie na yupi wapambane naye,mwanzoni mwa utawala wa SSH waligeuka kuwa wasemaji wake sasa mambo Ni magumu kwao wanaanza kulia na kulalama mama awasamehe,Mara masalia ya Magufuli,sasa ninyi adui yenu Ni yupi?,Samia,masalia ya Magufuli, CCM au sukuma gang ?Mabaki ja Meko
Tatizo wafuasi wa chadema hawajui kipi wakipiganie na yupi wapambane naye,mwanzoni mwa utawala wa SSH waligeuka kuwa wasemaji wake sasa mambo Ni magumu kwao wanaanza kulia na kulalama mama awasamehe,Mara masalia ya Magufuli,sasa ninyi adui yenu Ni yupi?,Samia,masalia ya Magufuli, CCM au sukuma gang ?
A rolling Stone gethers no moss!!
CCM ipo kwa miaka mingine 100, mtapata tabu sanaAdui wa Taifa letu ni ccm
Huu Ukiukwaji wa haki za binadamu haikubalikBaadhi ya Picha za makovu ya watuhumiwa wa Ugaidi wanaoshitakiwa pamoja na Mbowe zimeanza kuonekana hadharani , hawa watu waliteswa kinyama ! Hii nchi haikuwahi kufikia unyama kama huu , tena kwa tuhuma za uzushi zilizojaa uongo mtupu ! kisa ni Kumkomoa Mbowe , Inasikitisha sana !
Tunaomba radhi kwamba hatutaweza kuwaonyesha picha za majeraha yote , kutokana na Maadili ya Kitanzania kwa vile majeraha mengine yako maeneo yasiyoruhusiwa kuwekwa hadharani , bali itoshe tu kusema kwamba KILA ALIYEHUSIKA NA UNYAMA HUU AWE HAI AU AMEKUFA ATALIPA .
View attachment 1946196
Inshalllah bado wana afya teleBaadhi ya Picha za makovu ya watuhumiwa wa Ugaidi wanaoshitakiwa pamoja na Mbowe zimeanza kuonekana hadharani , hawa watu waliteswa kinyama ! Hii nchi haikuwahi kufikia unyama kama huu , tena kwa tuhuma za uzushi zilizojaa uongo mtupu ! kisa ni Kumkomoa Mbowe , Inasikitisha sana !
Tunaomba radhi kwamba hatutaweza kuwaonyesha picha za majeraha yote , kutokana na Maadili ya Kitanzania kwa vile majeraha mengine yako maeneo yasiyoruhusiwa kuwekwa hadharani , bali itoshe tu kusema kwamba KILA ALIYEHUSIKA NA UNYAMA HUU AWE HAI AU AMEKUFA ATALIPA .
View attachment 1946196
CCM ipo kwa miaka mingine 100, mtapata tabu sana