Watanzania wenyewe kwanza ni lazima wabadilike,ndio mambo yote yaliyotajwa hapa juu yatabadilika.Hakuna mtu atakuja kutawala nchi hii akajali maslahi ya watu kuliko yake,hayo alifanya Mwalimu tu.Hii ni hali halisi.
Precedent has been set,we just have to live with it.Sisi tufanye kama hivi,lakini lets be honest,hata mwaka 2015,tukapata rais kutoka Jambo Forums,mambo yatakuwa ni yaleyale.
Precedent has been set,we just have to live with it.Sisi tufanye kama hivi,lakini lets be honest,hata mwaka 2015,tukapata rais kutoka Jambo Forums,mambo yatakuwa ni yaleyale.