Matatizo ya Simba yameanzishwa na Mo na kipa wake wa mchongo. (Wa billion 3). Wachezaji hawana morali kuanzia kambini

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Wachezaji hawana morali kabisa. Hii Ni kutokana na timu kutumia fadha nyingi Sana kukamilisha sajili za kimadili dili. Wakati Caf wakitoa billion 5 za usajili Simba. Viongozi walitumia pesa hizo zote kusajili wachezaji wazuri na kuweka timu kambi uturuki. Baada ya Mo kuona kilakitu kimeenda sawa bila kutia mkono. Akaandaa usajili wake wa mchongo. Katafuta kipa mweupe. Akapata mbrazili bana kocha wa makipa akamkataa kabisa. Lilikuwa pazia. Basi akaawambia awaangalie wengine. Wakatatafuta kipa aliyemaliza muda wake. Wakatoa pesa kiduchu tu. Akasema amelipia billion 3.

Timu Sasa wachezaji hawana morali. Kocha kalazimishwa ampange kipa Mwarabu. Wachezaji hawamwamini kabisa.

Kwanza hajui kuwapanga, hatokei mipira, kiwango kibovu kabisa, Alafu huwapa maelekezo wasiyoyaamini. Kifupi hawamtaki kabisa kipa. Na makosa yataanza tu mwanzo wa msimu. Watamwacha atobolewe tu mpaka atoke.

Wanaumia. Wakati timu haitoi motisha kwa wakati, wachezaji wazuri wanasumbuliwa Sana Waache 10% ili wasajiliwe na wapangwe. Kama chama na Okra. Wakigoma wanatemwa. Wa mchongo wanapanbwa tu. Sasa wanajihisi kuzidiwa.

Kwani Sasa uongozi mzima na Mo mwenyewe wameungana katika upigaji.
 
Wachezaji hawana morali kabisa. Hii Ni kutokana na timu kutumia fadha nyingi Sana kukamilisha sajili za kimadili dili. Wakati Caf wakitoa billion 5 za usajili Simba. Viongozi walitumia pesa hizo zote kusajili wachezaji wazuri na kuweka timu kambi uturuki. Baada ya Mo kuona kilakitu kimeenda sawa bila kutia mkono. Akaandaa usajili wake wa mchongo. Katafuta kipa mweupe. Akapata mbrazili bana kocha wa makipa akamkataa kabisa. Lilikuwa pazia. Basi akaawambia awaangalie wengine. Wakatatafuta kipa aliyemaliza muda wake. Wakatoa pesa kiduchu tu. Akasema amelipia billion 3.
Hela zinatafutwa ili zitumiwe. Acha zitumiwe tu. Unawaonea wivu wachezaji kwenda Uturuki? Pambana na familia yako
 
Wachezaji hawana morali kabisa. Hii Ni kutokana na timu kutumia fadha nyingi Sana kukamilisha sajili za kimadili dili. Wakati Caf wakitoa billion 5 za usajili Simba. Viongozi walitumia pesa hizo zote kusajili wachezaji wazuri na kuweka timu kambi uturuki. Baada ya Mo kuona kilakitu kimeenda sawa bila kutia mkono. Akaandaa usajili wake wa mchongo. Katafuta kipa mweupe. Akapata mbrazili bana kocha wa makipa akamkataa kabisa. Lilikuwa pazia. Basi akaawambia awaangalie wengine. Wakatatafuta kipa aliyemaliza muda wake. Wakatoa pesa kiduchu tu. Akasema amelipia billion 3.

Timu Sasa wachezaji hawana morali. Kocha kalazimishwa ampange kipa Mwarabu. Wachezaji hawamwamini kabisa.

Kwanza hajui kuwapanga, hatokei mipira, kiwango kibovu kabisa, Alafu huwapa maelekezo wasiyoyaamini. Kifupi hawamtaki kabisa kipa. Na makosa yataanza tu mwanzo wa msimu. Watamwacha atobolewe tu mpaka atoke.

Wanaumia. Wakati timu haitoi motisha kwa wakati, wachezaji wazuri wanasumbuliwa Sana Waache 10% ili wasajiliwe na wapangwe. Kama chama na Okra. Wakigoma wanatemwa. Wa mchongo wanapanbwa tu. Sasa wanajihisi kuzidiwa.

Kwani Sasa uongozi mzima na Mo mwenyewe wameungana katika upigaji.
Umbeya tu huu. Na Manchester United wasemeje?
 
Wachezaji hawana morali kabisa. Hii Ni kutokana na timu kutumia fadha nyingi Sana kukamilisha sajili za kimadili dili. Wakati Caf wakitoa billion 5 za usajili Simba. Viongozi walitumia pesa hizo zote kusajili wachezaji wazuri na kuweka timu kambi uturuki. Baada ya Mo kuona kilakitu kimeenda sawa bila kutia mkono. Akaandaa usajili wake wa mchongo. Katafuta kipa mweupe. Akapata mbrazili bana kocha wa makipa akamkataa kabisa. Lilikuwa pazia. Basi akaawambia awaangalie wengine. Wakatatafuta kipa aliyemaliza muda wake. Wakatoa pesa kiduchu tu. Akasema amelipia billion 3.

Timu Sasa wachezaji hawana morali. Kocha kalazimishwa ampange kipa Mwarabu. Wachezaji hawamwamini kabisa.

Kwanza hajui kuwapanga, hatokei mipira, kiwango kibovu kabisa, Alafu huwapa maelekezo wasiyoyaamini. Kifupi hawamtaki kabisa kipa. Na makosa yataanza tu mwanzo wa msimu. Watamwacha atobolewe tu mpaka atoke.

Wanaumia. Wakati timu haitoi motisha kwa wakati, wachezaji wazuri wanasumbuliwa Sana Waache 10% ili wasajiliwe na wapangwe. Kama chama na Okra. Wakigoma wanatemwa. Wa mchongo wanapanbwa tu. Sasa wanajihisi kuzidiwa.

Kwani Sasa uongozi mzima na Mo mwenyewe wameungana katika upigaji.
Tanzania umbea kwetu ni laana au baraka Kwa mungu????, Tuthibitisha Kwa vivid documents ???? Hivi kweli inakuja akili I atoe Hela mwenyewe halafu ajiibie yeye tenaaa.
 
Na mwaka huu mataishia hatua makundi. Maana hakutakuwepo tena na yale magoli ya papatu papatu, na pia ya mabeki wa timu pinzani kujifunga.
 
kama kweli Ayoub amesajiliwa kwa bilion 3 basi Mwamedi ndio atakuwa anaihujumu hii timu
Screenshot_20231003-163033.png
 
Tanzania umbea kwetu ni laana au baraka Kwa mungu????, Tuthibitisha Kwa vivid documents ???? Hivi kweli inakuja akili I atoe Hela mwenyewe halafu ajiibie yeye tenaaa.
Hizo hela hajatoa. Ila documents zinasoma hivyo ili aongeze thamani yake ndani ya clab. (Matumizi) akikataa kutoa m100 na m200 Simba ilipoipiga Yanga na Wydad mtawaliwa kama ofa ilivyokuwa inataka.
Ni bingwa wa kutoa ahadi hewa.


Ona thamani ya ayoub eti Euro milion 1.3. zaidi ya bilion 4 za bongo. Hili sio sawa.
 

Attachments

  • Screenshot_20231003-163033.png
    Screenshot_20231003-163033.png
    82.7 KB · Views: 2
Hizo hela hajatoa. Ila documents zinasoma hivyo ili aongeze thamani yake ndani ya clab. (Matumizi) akikataa kutoa m100 na m200 Simba ilipoipiga Yanga na Wydad mtawaliwa kama ofa ilivyokuwa inataka.
Ni bingwa wa kutoa ahadi hewa.


Ona thamani ya ayoub eti Euro milion 1.3. zaidi ya bilion 4 za bongo. Hili sio sawa.
Ana mkataba mpaka 2025 ole wenu mmfukuze
 
Back
Top Bottom