William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Ntawarejesha baadae kidogo jinsi mo alivyoshiriki kutudanganya juu ya bilion 5 za usajili na babra Alivyoamua kumchamba live.
Turudi kwa kipa. Kipa yule Hajui lolote kuhusu kudaka mpira kwenye mechi. Ata watoto wadogo tunawafundisha kudaka hawafanyi makosa Kama Yale mfano.
1. Kipa alikuwa hatokei kabisa mipira. Unapigwa close, Kona na kila kitu kipa anabaki golini.
2. Hajui kudaka, kupanga beki Wala kuangalia mpira.
3. Kinachouma eti ndio kanunuliwa bilion 3 za Mo. Je wajua.
(a). Hiyo Ni sawa na fedha zote alizotumia timu ya Yanga msimu mzima uliopita kumotisha wachezaji na kupata matokeo makubwa.
(b) Hiyo bilion 3 Ni sawa na fedha inazotumia Yanga kulipa mishahara wachezaji msimu huu mzima.(kikosi Bora msimu huu).
Kweli mo anaitaka timu. Kwanini kila mwaka mnatafuta mzungu moja wa kuitafuna Simba wakati toka mwaka Jana wachezaji wanadai fedha zao za bonasi za ushindi wa Yanga na Wydad bongo.
Kipa nasikia kocha hamtaki, kochaa wa makipa hamuelewi lkn Mo na genge lake wamelazimisha apangwe.
Ifikie mahala Sasa usajili na fedha zote za usajili kwa kila mchezaji na aliyemleta ajulikane.
Pale hatukutafuta kipa pale. Tulitafuta mzungu. Lilikuwa na kipa vipers mzuri kabisa m100 tu.
Mo Kama anahela kwenye usajili kwa ela zake akasajili mwenyewe na watu wake.
Mwaka huu nasikia motisha za ushindi hamtoi kabisa. Timu inacheza ovyo ovyo tu
Turudi kwa kipa. Kipa yule Hajui lolote kuhusu kudaka mpira kwenye mechi. Ata watoto wadogo tunawafundisha kudaka hawafanyi makosa Kama Yale mfano.
1. Kipa alikuwa hatokei kabisa mipira. Unapigwa close, Kona na kila kitu kipa anabaki golini.
2. Hajui kudaka, kupanga beki Wala kuangalia mpira.
3. Kinachouma eti ndio kanunuliwa bilion 3 za Mo. Je wajua.
(a). Hiyo Ni sawa na fedha zote alizotumia timu ya Yanga msimu mzima uliopita kumotisha wachezaji na kupata matokeo makubwa.
(b) Hiyo bilion 3 Ni sawa na fedha inazotumia Yanga kulipa mishahara wachezaji msimu huu mzima.(kikosi Bora msimu huu).
Kweli mo anaitaka timu. Kwanini kila mwaka mnatafuta mzungu moja wa kuitafuna Simba wakati toka mwaka Jana wachezaji wanadai fedha zao za bonasi za ushindi wa Yanga na Wydad bongo.
Kipa nasikia kocha hamtaki, kochaa wa makipa hamuelewi lkn Mo na genge lake wamelazimisha apangwe.
Ifikie mahala Sasa usajili na fedha zote za usajili kwa kila mchezaji na aliyemleta ajulikane.
Pale hatukutafuta kipa pale. Tulitafuta mzungu. Lilikuwa na kipa vipers mzuri kabisa m100 tu.
Mo Kama anahela kwenye usajili kwa ela zake akasajili mwenyewe na watu wake.
Mwaka huu nasikia motisha za ushindi hamtoi kabisa. Timu inacheza ovyo ovyo tu