Kwa hili suala la Kipa wa Simba, Mohamed Dewji ndio kashiriki kututapeli hela za Usajili za CAF

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Ntawarejesha baadae kidogo jinsi mo alivyoshiriki kutudanganya juu ya bilion 5 za usajili na babra Alivyoamua kumchamba live.

Turudi kwa kipa. Kipa yule Hajui lolote kuhusu kudaka mpira kwenye mechi. Ata watoto wadogo tunawafundisha kudaka hawafanyi makosa Kama Yale mfano.

1. Kipa alikuwa hatokei kabisa mipira. Unapigwa close, Kona na kila kitu kipa anabaki golini.

2. Hajui kudaka, kupanga beki Wala kuangalia mpira.

3. Kinachouma eti ndio kanunuliwa bilion 3 za Mo. Je wajua.

(a). Hiyo Ni sawa na fedha zote alizotumia timu ya Yanga msimu mzima uliopita kumotisha wachezaji na kupata matokeo makubwa.

(b) Hiyo bilion 3 Ni sawa na fedha inazotumia Yanga kulipa mishahara wachezaji msimu huu mzima.(kikosi Bora msimu huu).

Kweli mo anaitaka timu. Kwanini kila mwaka mnatafuta mzungu moja wa kuitafuna Simba wakati toka mwaka Jana wachezaji wanadai fedha zao za bonasi za ushindi wa Yanga na Wydad bongo.

Kipa nasikia kocha hamtaki, kochaa wa makipa hamuelewi lkn Mo na genge lake wamelazimisha apangwe.

Ifikie mahala Sasa usajili na fedha zote za usajili kwa kila mchezaji na aliyemleta ajulikane.

Pale hatukutafuta kipa pale. Tulitafuta mzungu. Lilikuwa na kipa vipers mzuri kabisa m100 tu.

Mo Kama anahela kwenye usajili kwa ela zake akasajili mwenyewe na watu wake.

Mwaka huu nasikia motisha za ushindi hamtoi kabisa. Timu inacheza ovyo ovyo tu
 
Acha uongo na wew, hakuna kipa alienunuliwa kwa B3, mbona waTz tunapenda kupotosha mambo maksudi hivi?
Kaka kanunuliwa Dola m 1.3 za marekani sawa na Billion 3. Mo katuchapa kitu kizito. Hizo Ni sawa na mshahara wa wachezaji wa Yanga wote msimu mzima
Screenshot_20230918-120150.png
 
Mo ndio kamleta yule CEO wa kike ndio kamleta huyo kaangalia ngozi still ana dharau sana yaani utakuta huyo kipa analipwa pesa kibao ...Mtakuja kumuelewa Manara kukataq kulipwa laki 7 huko kidemu kile hakina jipya kinalipwa mamillion ...
 
Ntawarejesha baadae kidogo jinsi mo alivyoshiriki kutudanganya juu ya bilion 5 za usajili na babra Alivyoamua kumchamba live.

Turudi kwa kipa. Kipa yule Hajui lolote kuhusu kudaka mpira kwenye mechi. Ata watoto wadogo tunawafundisha kudaka hawafanyi makosa Kama Yale mfano.

1. Kipa alikuwa hatokei kabisa mipira. Unapigwa close, Kona na kila kitu kipa anabaki golini.

2. Hajui kudaka, kupanga beki Wala kuangalia mpira.

3. Kinachouma eti ndio kanunuliwa bilion 3 za Mo. Je wajua.

(a). Hiyo Ni sawa na fedha zote alizotumia timu ya Yanga msimu mzima uliopita kumotisha wachezaji na kupata matokeo makubwa.

(b) Hiyo bilion 3 Ni sawa na fedha inazotumia Yanga kulipa mishahara wachezaji msimu huu mzima.(kikosi Bora msimu huu).

Kweli mo anaitaka timu. Kwanini kila mwaka mnatafuta mzungu moja wa kuitafuna Simba wakati toka mwaka Jana wachezaji wanadai fedha zao za bonasi za ushindi wa Yanga na Wydad bongo.

Kipa nasikia kocha hamtaki, kochaa wa makipa hamuelewi lkn Mo na genge lake wamelazimisha apangwe.
Ifikie mahala Sasa usajili na fedha zote za usajili kwa kila mchezaji na aliyemleta ajulikane.

Pale hatukutafuta kipa pale. Tulitafuta mzungu. Lilikuwa na kipa vipers mzuri kabisa m100 tu.

Mo Kama anahela kwenye usajili kwa ela zake akasajili mwenyewe na watu wake.

Mwaka huu nasikia motisha za ushindi hamtoi kabisa. Timu inacheza ovyo ovyo tu
Umeandika kwa hamaki sana.Umeibiwa hela gani?Ulitoa shilingi ngapi?
 
MO yupo sahihi kipindi cha nyuma alikua akitoa fedha za usajili mnaletea wakina Duncun Nyoni na wengine wa jamii ya kina Sawadogo mna mpiga ela.
Inawezekana kaamua kumleta uyo mwarabu kwa kutumia fedha mlizopewa na Caf kwa maandalizi ya super league ili na yeye afukie mashimo mliyo mpiga kipindi cha nyuma.
Huwezi mfanyabiashara mkubwa ukaicha fedha nyingi kamaiyo kwa mkupuo inapita mbeleyako kifala.

Yeye kapiga mshindo mmoja tu nyie mnalia wakati mshatafuna sana fedha zake.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mo ndio kamleta yule CEO wa kike ndio kamleta huyo kaangalia ngozi still ana dharau sana yaani utakuta huyo kipa analipwa pesa kibao ...Mtakuja kumuelewa Manara kukataq kulipwa laki 7 huko kidemu kile hakina jipya kinalipwa mamillion ...
Mkuu unaelewa kinachoendelea kwenye mpira kweli? Hapa ndipo inapodhihirisha aina ya mashabiki wanaojidai wachambuzi, eti Barbra anatajwa nyakati hizi 😁
 
Mo ndio chanzo Cha kuleta Golikipa mbovu Simba.

Nilimsia Mo akihitaji Golikipa wa kigeni mzungu au Mwarabu

Jefferson Luis.
Luiz Santos

Wakaangukia kwa Mwarabu AYOUB Lakred.

Akawaacha Magolikipa wenye UWEZO Mkubwa.

Simon Loti (Cameroon)
John Noble.(Nigeria)
Akaenda kitayose.

Mo Huwa Kuna Maamuzi ya Ajabu Huwa anayafanya Hadi UNAJIULIZA Huyu mtu ni mzima kweli!!!!!!!!!!?
 
Kuna swali Kama Kuna anajua jibu lake naomba anifahamishe, mo anatangaza pesa anazotumia kununua wachezaji, mbona wachezaji wakiuzwa taarifa zao haziwekwi wazi? Bwalya, Pape Sakho taarifa zao za mauzo zinafichwa kwa faida ya Nani?
 
Ntawarejesha baadae kidogo jinsi mo alivyoshiriki kutudanganya juu ya bilion 5 za usajili na babra Alivyoamua kumchamba live.

Turudi kwa kipa. Kipa yule Hajui lolote kuhusu kudaka mpira kwenye mechi. Ata watoto wadogo tunawafundisha kudaka hawafanyi makosa Kama Yale mfano.

1. Kipa alikuwa hatokei kabisa mipira. Unapigwa close, Kona na kila kitu kipa anabaki golini.

2. Hajui kudaka, kupanga beki Wala kuangalia mpira.

3. Kinachouma eti ndio kanunuliwa bilion 3 za Mo. Je wajua.

(a). Hiyo Ni sawa na fedha zote alizotumia timu ya Yanga msimu mzima uliopita kumotisha wachezaji na kupata matokeo makubwa.

(b) Hiyo bilion 3 Ni sawa na fedha inazotumia Yanga kulipa mishahara wachezaji msimu huu mzima.(kikosi Bora msimu huu).

Kweli mo anaitaka timu. Kwanini kila mwaka mnatafuta mzungu moja wa kuitafuna Simba wakati toka mwaka Jana wachezaji wanadai fedha zao za bonasi za ushindi wa Yanga na Wydad bongo.

Kipa nasikia kocha hamtaki, kochaa wa makipa hamuelewi lkn Mo na genge lake wamelazimisha apangwe.

Ifikie mahala Sasa usajili na fedha zote za usajili kwa kila mchezaji na aliyemleta ajulikane.

Pale hatukutafuta kipa pale. Tulitafuta mzungu. Lilikuwa na kipa vipers mzuri kabisa m100 tu.

Mo Kama anahela kwenye usajili kwa ela zake akasajili mwenyewe na watu wake.

Mwaka huu nasikia motisha za ushindi hamtoi kabisa. Timu inacheza ovyo ovyo tu
Acha mihemko wewe. Umetapeliwa nini sasa, una hisa yoyote simba zaidi ya kelele za ushabiki maandazi?
 
Back
Top Bottom