Zimenunuliwa na king'amuziJe....!!! Hizo remote munazo zisema,mumezinunua na kingamuzi au ni zile za Kkoo ambazo pia zina nembo ya Azam..???
daa ata rimoti yangu hivyo hivyoMkuu, ulisolve vipi tatizo la king'amuzi?.... Changu pia button hazifanyi kazi, na remote yake nayo inazima tu na kuwasha button nyingine zote hazibadili kitu.........
Heshima kwenu wadau
Lengo ka uzi huu si kuwaharibia biashara azam Tv lengo ni kutaka kujua tatizo gani ambalo linafanya hizi remote za kingamuzi chenu kuchanganya mpangilio wake mfano
Unabonyeza button ya kuongeza sauti unashangaa imebadili channel haya unabonyeza button ya kubadili channel unaona inaongeza saut hii kitu nilijua kwangu tu lakini nilipoongea mdau ambaye naye anatumia kingamuzi hicho akasema hata yeye hiyo hali hutokea hivyo sasa jamani tatizo nini mwaka Wa tatu huu ndio naanza kuona mapicha Picha haya nini tatizo
Kwahiyo wote tunaishi kariakooTatizo Remote Fake zipo nyingi mtaani ambazo co official product za Azam Remote za Azam inatakiwa ununue kwa wakala wa azam au katika ofisi za Azam FAKE zipo nyingi na mbovuView attachment 2207581
eHeshima kwenu wadau
Lengo ka uzi huu si kuwaharibia biashara azam Tv lengo ni kutaka kujua tatizo gani ambalo linafanya hizi remote za kingamuzi chenu kuchanganya mpangilio wake mfano
Unabonyeza button ya kuongeza sauti unashangaa imebadili channel haya unabonyeza button ya kubadili channel unaona inaongeza saut hii kitu nilijua kwangu tu lakini nilipoongea mdau ambaye naye anatumia kingamuzi hicho akasema hata yeye hiyo hali hutokea hivyo sasa jamani tatizo nini mwaka Wa tatu huu ndio naanza kuona mapicha Picha haya nini tatizo