Matatizo ya remote za king'amuzi cha Azam

Matatizo ya remote za king'amuzi cha Azam

sambamba na hilo kuna hili la mvua....yaani mvua ikinyesha tu mawasiliano yanakata...unakuta unachek program nzuri sasa matangazo yakikata hadi yarudi kipindi kimeisha au hata kama hakijaisha basi unakosa muendelezo mzuri...
azam tunawapenda but shughulikieni haya yanatukwaza
 
Hili tatizo kumbe ni kila king'amuzi aiseee, nimeiona sehemu kadhaa nikajua tunahitaji kubadili remote
sasa nimejua kuwa hata uwe nazo 100 haisaidii
 
Heshima kwenu wadau

Lengo ka uzi huu si kuwaharibia biashara azam Tv lengo ni kutaka kujua tatizo gani ambalo linafanya hizi remote za kingamuzi chenu kuchanganya mpangilio wake mfano

Unabonyeza button ya kuongeza sauti unashangaa imebadili channel haya unabonyeza button ya kubadili channel unaona inaongeza saut hii kitu nilijua kwangu tu lakini nilipoongea mdau ambaye naye anatumia kingamuzi hicho akasema hata yeye hiyo hali hutokea hivyo sasa jamani tatizo nini mwaka Wa tatu huu ndio naanza kuona mapicha Picha haya nini tatizo
Mimi limoti yangu ililipuka yenyewe na kuungua
bila hata kuwa inatumika. Tatizo kubwa king'amuzi pia ni kibovu hakiwezi kusogea steshen wala kuongeza sauti au kupunguza. Mbaya zaidi ukizima king'amuzi ukiwasha tena unapelekwa azam one na siyo stesheni uliyozimia king'amuzi. Majirani wamenichoka kwa kuomba limoti.
 
ni kweli kabisa hii imekua kero sana kwangu,

alafu hizi remote sio zile za mwanzo naona wamebadilisha muonekano lakini bomu tupu.

nikiwa nataka kubadili Chanel nashangaa sauti inaongezeka au kupungua.

Azam mmekua bomu kabisa.
 
sambamba na hilo kuna hili la mvua....yaani mvua ikinyesha tu mawasiliano yanakata...unakuta unachek program nzuri sasa matangazo yakikata hadi yarudi kipindi kimeisha au hata kama hakijaisha basi unakosa muendelezo mzuri...
azam tunawapenda but shughulikieni haya yanatukwaza
Dah!nikajua sisi tunaotumia continental ndio tunakumbana na hili tu kumbe hadi Azam.
Kuna wakati channel zinapotea zote hata wiki au wiki mbili na hapo mtu umelipia kifurushi yaani majanga.
Zikirudi zinarudi chache nyingine hazionyeshi.
Sijui king'amuzi kipi bora mana nataka kubadilisha lakini naona kote chenga
 
Heshima kwenu wadau

Lengo ka uzi huu si kuwaharibia biashara azam Tv lengo ni kutaka kujua tatizo gani ambalo linafanya hizi remote za kingamuzi chenu kuchanganya mpangilio wake mfano

Unabonyeza button ya kuongeza sauti unashangaa imebadili channel haya unabonyeza button ya kubadili channel unaona inaongeza saut hii kitu nilijua kwangu tu lakini nilipoongea mdau ambaye naye anatumia kingamuzi hicho akasema hata yeye hiyo hali hutokea hivyo sasa jamani tatizo nini mwaka Wa tatu huu ndio naanza kuona mapicha Picha haya nini tatizo
Nilikua najua ni mm peke yangu..
Mm nilivyo ona hili tatizo niliamua kuwauliza **** naweza pata ya grade ya juu huku nikiju hii niliyo nayo ni ya chini sana..wakanambia ya bei ya juu ni elfu arobaini..nikabidi nimtafute wakala wao hapa mkoani..kumbe hiyo ya elfu arobaini ndio hiyo ninayo itumia nikaachana nao..ila mpaka leo tatizo lipo.
 
Vitakuwa ni hivi vipya vya sasa hivi, maana nilikuta jamaa analalama naye ila changu fresh tu.
 
Mie azam nimeitupa kule,tumieni Dstv ujinga huo hamna.angalizo kama Salio ni tatizo baki huko huko
 
Nilikua najua ni mm peke yangu..
Mm nilivyo ona hili tatizo niliamua kuwauliza **** naweza pata ya grade ya juu huku nikiju hii niliyo nayo ni ya chini sana..wakanambia ya bei ya juu ni elfu arobaini..nikabidi nimtafute wakala wao hapa mkoani..kumbe hiyo ya elfu arobaini ndio hiyo ninayo itumia nikaachana nao..ila mpaka leo tatizo lipo.
Nunua ya star time utumie kwenye azam ikp fresh na zinaingiliana
 
Na zinaharibika hovyo sana sana nishabadilisha zaidi ya mara tatu na ushee
 
Binafsi nilidhani betri zimeisha. Nabonyeza ya kurudi juu yenyewe inarudisha chini
 
Heshima kwenu wadau

Lengo ka uzi huu si kuwaharibia biashara azam Tv lengo ni kutaka kujua tatizo gani ambalo linafanya hizi remote za kingamuzi chenu kuchanganya mpangilio wake mfano

Unabonyeza button ya kuongeza sauti unashangaa imebadili channel haya unabonyeza button ya kubadili channel unaona inaongeza saut hii kitu nilijua kwangu tu lakini nilipoongea mdau ambaye naye anatumia kingamuzi hicho akasema hata yeye hiyo hali hutokea hivyo sasa jamani tatizo nini mwaka Wa tatu huu ndio naanza kuona mapicha Picha haya nini tatizo
Hata mm
 
Nunua ya star time utumie kwenye azam ikp fresh na zinaingiliana
Mi natumia ya Startimes baadabya remote yake kuharibika. Inafanya kazi vizuri, ila haya matatizo haya tunayoongelea bado yapo sana. Button za king'amuzi ni ngumu balaa.
 
Dah!nikajua sisi tunaotumia continental ndio tunakumbana na hili tu kumbe hadi Azam.
Kuna wakati channel zinapotea zote hata wiki au wiki mbili na hapo mtu umelipia kifurushi yaani majanga.
Zikirudi zinarudi chache nyingine hazionyeshi.
Sijui king'amuzi kipi bora mana nataka kubadilisha lakini naona kote chenga
duuh pole mkuu, hiyo ya wiki nzima imezidi. azam huwa inakata dakika hata kumi au ishirini sasa kama unaangalia kipindi chako pendwa inakera sana....
 
Back
Top Bottom