Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
jandekuka;
Mchungu unamaanisha nini Ila nina hasira za haraka saaana na kasirika mpaka natapika mi sio mpweke I talk , nikiona bored napiga mitungi nalala nasoma novel ,like right now nawatch movie naenjoy sijui maana ya mapenzi and sometimes naona kero kujichanganya lets say hapa nawatch movie halaf
Nipate simu nitoke hapa sijui nikafurahie wapi i will say hapana nooo but i go when i neeed na hata nikianzisha relation na mtu huwa nambore hahaha sababa siwez kwenda na bit za mtu yoyote dunia hii ndo mana hata sitaki kufikiria mwanaume hatutadumu.
Mchungu unamaanisha nini Ila nina hasira za haraka saaana na kasirika mpaka natapika mi sio mpweke I talk , nikiona bored napiga mitungi nalala nasoma novel ,like right now nawatch movie naenjoy sijui maana ya mapenzi and sometimes naona kero kujichanganya lets say hapa nawatch movie halaf
Nipate simu nitoke hapa sijui nikafurahie wapi i will say hapana nooo but i go when i neeed na hata nikianzisha relation na mtu huwa nambore hahaha sababa siwez kwenda na bit za mtu yoyote dunia hii ndo mana hata sitaki kufikiria mwanaume hatutadumu.
Last edited by a moderator: