Matatizo ya mwanamke mwenye wivu sana

Matatizo ya mwanamke mwenye wivu sana

Yaan mie wivu utaniua hua najitahidii weee wapiii hasa nikigundua nataka kuibiwa looo yaan hapo litanikaa moyoni halitokii,kuna mtu namvutia pumzi nahisi roho yangu itatulia aisee ni kweli ni bora kua single huku kupenda unaweza kufa siku si zako halaf lenyewe likaendelea kula bata, @frola Msofe afadhali upo single aisee ni boraa

Wengine tutakuf siku si zetu

Mapenzi yanauma dinner somtime inabidi upotezee tu kama anachepuka ipo siku utajua tu.vinginevyo utakufa na kijiba cha roho.
 
nina wivu balaa nimeamua kuishi mwenyewe milele i cant stand wanaume hahaha sijui ni mazingira niliyokulia ama nini lakini nina wivu na siamini mwanaume hata mmoja so sina mahusiano yale serious na wanaume wala siwapendi naona wanagegeda tu hawana mapenzi

Ila nipo karibu na wanaume yaani naishi nao kama mi mwanaume ,mwenzao sina marafiki wa kike lakin mapenzi hapana wapite hiviii

Acha ufe na utam wako ukaulizwe mbele huko
 
mkuu bila shaka hapo umeniongelea mimi,maana yote yananihusu.au unanifahamuu?
 
nina wivu balaa nimeamua kuishi mwenyewe milele i cant stand wanaume hahaha sijui ni mazingira niliyokulia ama nini lakini nina wivu na siamini mwanaume hata mmoja so sina mahusiano yale serious na wanaume wala siwapendi naona wanagegeda tu hawana mapenzi

Ila nipo karibu na wanaume yaani naishi nao kama mi mwanaume ,mwenzao sina marafiki wa kike lakin mapenzi hapana wapite hiviii


So wewe kipenzi chako ni DILDO eeh?
 
Wivu kupita kiasi ni ujinga tu maana watu wa aina hiyo huwa wanatumia emotions tu bila logic,
Stephen Covey anasema huwa wanatumia only their right part of brain, they never use their left brain.
 
nina wivu balaa nimeamua kuishi mwenyewe milele i cant stand wanaume hahaha sijui ni mazingira niliyokulia ama nini lakini nina wivu na siamini mwanaume hata mmoja so sina mahusiano yale serious na wanaume wala siwapendi naona wanagegeda tu hawana mapenzi

Ila nipo karibu na wanaume yaani naishi nao kama mi mwanaume ,mwenzao sina marafiki wa kike lakin mapenzi hapana wapite hiviii

Mmh usicomplicate maisha dada
 
nina wivu balaa nimeamua kuishi mwenyewe milele i cant stand wanaume hahaha sijui ni mazingira niliyokulia ama nini lakini nina wivu na siamini mwanaume hata mmoja so sina mahusiano yale serious na wanaume wala siwapendi naona wanagegeda tu hawana mapenzi

Ila nipo karibu na wanaume yaani naishi nao kama mi mwanaume ,mwenzao sina marafiki wa kike lakin mapenzi hapana wapite hiviii

Utakuwa na tatizo zaidi ya wivu...your problem is even deeper than that.
 
Wa kwangu mpaka naiona dunia chungu,uage usiage ukirudi kuliliwa mtindo mmoja.Usitembelewe na mtu,kivumbi kitatimka.

Pole sana mkuu niliyaishi maisha hayo kwenye mapito yangu.Usiombee.
 
Upendi wanaume alafu unakaa nao wewe utakuwa unamatatizo nahamini kabisa ni msagaji wewe
 
Back
Top Bottom