nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 694
Habari wana Jamii forums natumaini mko poa sana.
Leo nipo tena hapa kupeana maarifa,ningependa kutoa udhoefu wangu,juu ya matatizo ya wanawake wenye wivu mkubwa,kwani ninavyojua "wivu"ni moja wapo ya kipimo cha Upendo kwenye mahusiano ya kimapenzi,lakini wivu huohuo ukizidi inakuwa ni tatizo,wazungu hupenda kusema" too much is harmful ".
Wanawake wenye wivu mkubwa huwa wanamatatizo sana,ningependa wanaume wenzagu waelewe mwanamke mwenye wivu mkubwa huwa hakuonei wivu tu,anapokukuta na wanawake wengine mnaongea ama mnezoana,Bali mwanamke mwenye wivu mkubwa hukuonea wivu hadi na vitu unavyovipenda.
Kwa mfano, mwanaume ukiwa unapenda sana kuangalia mpira kama yeye mwanamke hapendi mpira atakuwa hapendi wwe uangalie mpira iwe nyumbani ama unapenda kuangalia sehemu nyingine.
Jambo jingine kwa mfano mwanaume akiwa anampenda sana labda mama yake ama ndugu yeyote au rafiki mwanamke mwenye wivu mkubwa lazima awachukie watu wote unaowapenda sana cause mwanamke mwenye wivu mkubwa huwa anapenda umpende yeyetu.
Zaidi sio kitu chochote,na jambo jingine baya zaidi mwanamke mwenye wivu mkubwa huwa anahasira sana na Mara nyingi huwa ni mtu wa visasi ukimfanyia kosa lazima alipize kwa mfano ukichepuka nayeye akijua lazima achepuke.
Kuna jambo jingine la muhimu la kuelewa sio kila mwanamke mwenye wivu mkubwa anakupenda sana hapana wengine ni roho mbaya tu na wengine huwa ni wachepukaji wakubwa na huwa wanahisi pengine na wwe unachepuka kama wao,si unajua "mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu",yangu ni hayo tu mengine mtaongezea wenyewe.
Note:hakuna binadamu aliyekamilika kama ukikutana na mwanamke mwenye wivu mkubwa na umempenda jiandae tu kisaikojia kuishi nae na kuvumilia kero zake na pengine kumbadilisha.
Leo nipo tena hapa kupeana maarifa,ningependa kutoa udhoefu wangu,juu ya matatizo ya wanawake wenye wivu mkubwa,kwani ninavyojua "wivu"ni moja wapo ya kipimo cha Upendo kwenye mahusiano ya kimapenzi,lakini wivu huohuo ukizidi inakuwa ni tatizo,wazungu hupenda kusema" too much is harmful ".
Wanawake wenye wivu mkubwa huwa wanamatatizo sana,ningependa wanaume wenzagu waelewe mwanamke mwenye wivu mkubwa huwa hakuonei wivu tu,anapokukuta na wanawake wengine mnaongea ama mnezoana,Bali mwanamke mwenye wivu mkubwa hukuonea wivu hadi na vitu unavyovipenda.
Kwa mfano, mwanaume ukiwa unapenda sana kuangalia mpira kama yeye mwanamke hapendi mpira atakuwa hapendi wwe uangalie mpira iwe nyumbani ama unapenda kuangalia sehemu nyingine.
Jambo jingine kwa mfano mwanaume akiwa anampenda sana labda mama yake ama ndugu yeyote au rafiki mwanamke mwenye wivu mkubwa lazima awachukie watu wote unaowapenda sana cause mwanamke mwenye wivu mkubwa huwa anapenda umpende yeyetu.
Zaidi sio kitu chochote,na jambo jingine baya zaidi mwanamke mwenye wivu mkubwa huwa anahasira sana na Mara nyingi huwa ni mtu wa visasi ukimfanyia kosa lazima alipize kwa mfano ukichepuka nayeye akijua lazima achepuke.
Kuna jambo jingine la muhimu la kuelewa sio kila mwanamke mwenye wivu mkubwa anakupenda sana hapana wengine ni roho mbaya tu na wengine huwa ni wachepukaji wakubwa na huwa wanahisi pengine na wwe unachepuka kama wao,si unajua "mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu",yangu ni hayo tu mengine mtaongezea wenyewe.
Note:hakuna binadamu aliyekamilika kama ukikutana na mwanamke mwenye wivu mkubwa na umempenda jiandae tu kisaikojia kuishi nae na kuvumilia kero zake na pengine kumbadilisha.