Matatizo ya Kampuni ya Zantel Tanzania

Matatizo ya Kampuni ya Zantel Tanzania

Zantel usitarajie jibu lolote toka kwao. Komaa tu hali yako
Sio zantel tu mkuu, yaani watu wa zanzbar sijui wameumbwaje yaani hata muuza chapati usishangae anapikia ndani, na wasiwasi hawana, wakujitanua zaidi kibiashara yaani akipata hela ya kula inatosha maisha mazuri atayakuta peponi[emoji23][emoji23]
 
Sio zantel tu mkuu, yaani watu wa zanzbar sijui wameumbwaje yaani hata muuza chapati usishangae anapikia ndani, na wasiwasi hawana, wakujitanua zaidi kibiashara yaani akipata hela ya kula inatosha maisha mazuri atayakuta peponi[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom