Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,672
Kabisahalotel buku unapata msg 5000 mwezi, wao elfu 3 kwa msg elf 2 dah hapo ndipo wanapoumiza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisahalotel buku unapata msg 5000 mwezi, wao elfu 3 kwa msg elf 2 dah hapo ndipo wanapoumiza kabisa
wezi haoKaribu TTCL hutojuta
Lini wamekuibia?wezi hao
Mzee hivi wewe ni customer care wa ttcl auLini wamekuibia?
HapanaMzee hivi wewe ni customer care wa ttcl au
Mbona unawatetea hao wahuniHapana
Mbona wapo vizuri tu.Mbona unawatetea hao wahuni
[emoji51][emoji51][emoji51]pole sana mwamba.Leo nomejiunga kifurushi cha week wamenipa dk 20 nimeongea dakika 10 wananiambia dakika zangu zimekwisha
asante! Ni Kwenda mitandao yote aisee[emoji51][emoji51][emoji51]pole sana mwamba.
Hizo dakika ni mitandao yote au 10 kwenda TTCL na 10 yote?
Tigo wanakera na sms...zisizo na kichwa wala mguu! Mtu upo kwenye mishe unasikilizia sms ya 'ukweli' ili mipango ya siku ikae sawa....mara unasikia titiii!titiii!Tigo = ZANTEL ... Mmiliki Wa ZANTEL ni TIGO (MIC LTD )
NiPM namba yako ya TTCL kwa msaada zaidiasante! Ni Kwenda mitandao yote aisee
Sawa!NiPM namba yako ya TTCL kwa msaada zaidi
Solved!Sawa!
ShukraniSolved!
[emoji51][emoji51][emoji51]Zantel au TTCLYaani wanakujibu kama vile wanakusuta.
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]