Matatizo ya Kampuni ya Zantel Tanzania

Matatizo ya Kampuni ya Zantel Tanzania

Ukweli nimetumia zantel 20yrs na bado naitumia as main line.

Sijui kama wana toa huduma kulingana na muda mteja aliokaa ila kwa upande wa bandle, sms au mins naona kawaida.

Mfano,
a) 1000 napata 1gb, 100sms na 45mins all net kwa wiki.
b) Dar offer wanatoa 1000 3gb kwa siku tatu
 
Ukweli nimetumia zantel 20yrs na bado naitumia as main line.

Sijui kama wana toa huduma kulingana na muda mteja aliokaa ila kwa upande wa bandle, sms au mins naona kawaida.

Mfano,
a) 1000 napata 1gb, 100sms na 45mins all net kwa wiki.
b) Dar offer wanatoa 1000 3gb kwa siku tatu
Menu ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hua wananikataga sh 30 nikitaka kujiunga na bando la DSM offer la huku,nashangaa huu utaratibu wametoa wapi na mkwanja wangu wanapeleka wapi.
Kiufupi ni wajeuri Sana.
 
Matatizo lukuki yanayokumba ni pamoja na:


1.KIFURUSHI CHA BMP

Yaani kifurushi cha BONGA MPAKA BASI ndio mnakiona cha maana sana kuliko hata MB na SMS!
Yaani mtu aweke 3000 apate dakika 220 SMS 50 na MB 50.
Kwa kweli hapa mmefeli.


2.SPIDI YA INTANETI

Hapa kwenye spidi niseme kweli mpo vizuri
Kazeni kamba maana hata Vodacom Tanzania wapo vizuri kuliko mtandao wowote mkifuatia nyie Zantel.


3.KUSHINDWA KUSIKILIZA MAONI YA WATEJA.

Sijui mnakwama wapi? Yaani hata wateja wakiwapa maoni kuhusu maboresho ya vifurushi mnawapuuzia.
Hata huduma ya kuwasiliana na wateja kwa njia ya WhatsApp hamna?
Tena pale Makao Makuu yenu ya jirani na ubalozi wa USA, watoa huduma wana nyodo sana.
Yaani wanakujibu kama vile wanakusuta.


4.VIFURUSHI VYA USIKU

Hapa msinibishie kabisa, hamna kufurushi chochote kile cha intaneti cha usiku kuanzia saa 6 mpaka saa 12.
Wenzenu TTCL na Halotel hizi huduma wanazo na tunaenjoy sana usiku.
Fanyeni mpango mtupatie hata
>>> GB 1 kwa 500 saa 6 usiku hadi saa 12 asubuhi.
>>> GB 3 kwa 1000 saa 6 mpaka saa 12 asubuhi.


4.VIFURUSHI VYA CHUO

Ukipiga *148*05# kisha ukichagua Vyuo vya Bara
Aisee kama simu yako mnara unasoma 3G, H, H+ au 4G lazima igome kujiunga na kifurushi.
Mpaka uende kwenye setting useti mnara usome 2G kisha ujaribu kujiunga tena ndio itakubali ila kwa mbinde.


5.KERO YA SMS ZA OFA

Yaani nyie kwenye ustaarabu ni 0.3% yaani mnatuma SMS za ofa ovyo mpaka najifikiria kuwatukana.
Yaani kwa siku mnatuma SMS 12 yaani wastani wa kila saa mnatuma tu SMS.
Yaani hapa nilipo laini yenu nimeitoa kwenye simu ipo kwenye kabati sababu ya ujinga huu.


6.VIFURUSHI VYA SMS

>>Tsh 500 mnatoa SMS 150 saa 24
>>Tsh 1000 mnatupa SMS 500 wiki
>>Tsh 3000 mnipe SMS 2000 kwa mwezi!

Hapa mmefeli vibaya mno, yaani vibaya mno.
Nendeni mkajifunze hata kwa Vodacom Tanzania


7.VIFURUSHI VYA INTANETI HAVINUNULIKI

Ni bei mno jaribuni kukaa chini mshushe hiyo bei.
Waangalieni Halotel, TTCL na kidogo Airtel.
Nawapenda sana Zantel, tatizo mna vifurushi ghali sana.



Kwa staili hii mtapoteza wateja, mtafilisika na hatimaye mtarudi Visiwani kuimba Taarab na Kaswida kama sio kuuza urojo.

Sent using Jamii Forums mobile app
We falaa uliposema warudi Zanzibar ulikusudia nini hakika Watanganyika kwa ubaguz nawavulia kofia
 
Ukweli nimetumia zantel 20yrs na bado naitumia as main line.

Sijui kama wana toa huduma kulingana na muda mteja aliokaa ila kwa upande wa bandle, sms au mins naona kawaida.

Mfano,
a) 1000 napata 1gb, 100sms na 45mins all net kwa wiki.
b) Dar offer wanatoa 1000 3gb kwa siku tatu
Mkuu hapa umechapia, wanatoa
1000 Dk100 (55dk-Z to Z na 45dk all net) + 100sms +50mb
1000 1Gb + 20dk(5dk all net) + 50sms
 
Back
Top Bottom