Matatizo ya Kampuni ya Zantel Tanzania

Matatizo ya Kampuni ya Zantel Tanzania

Natumia Zantel, kiukweli kwangu naona jamaa wako poa tu.

Menu ya *148*05# napata ofa ya vifurushi vya chuo 1500 GB 1.5, dk 160 mitandao yote na SMS 1000 kwa wiki.

Pia *149*15# napata ofa ya Bao Tanga 1000 GB 1 na dk 5 za mitandao yote siku 3
Jaribu menu ya *149*15#
Nenda namba 10.Bao bila kikomo! Burudani zote zipo hapo.
 
Mkuu, usijisumbue, Tigo tayar washa takeover, Zantel Kwa upande wa Bara ipo chini ya Tigo, management kuu inatoka Tigo.
Sijajua itafanyika Total Acquisition au Wataiacha ijitegemee.
Waiache ijitegemee maana kwa level ya Huduma ni kama Toyota na Nissan.

Tigo ni Nissa huku Zantel ni Toyota katika nyanja ya mawasiliano
 
Ukweli nimetumia zantel 20yrs na bado naitumia as main line.

Sijui kama wana toa huduma kulingana na muda mteja aliokaa ila kwa upande wa bandle, sms au mins naona kawaida.

Mfano,
a) 1000 napata 1gb, 100sms na 45mins all net kwa wiki.
b) Dar offer wanatoa 1000 3gb kwa siku tatu
Mkuu miaka 20 iliyopita zantel ilikuwepo kweli? mbona naona kama kuna ukakasi hapa
 
Waiache ijitegemee maana kwa level ya Huduma ni kama Toyota na Nissan.

Tigo ni Nissa huku Zantel ni Toyota katika nyanja ya mawasiliano
Wakiiacha ijitegemee, itapendeza sana. Uzuri wa Zantel imejingea wateja ambao ni loyal, ukiwa mteja mzur wa Zantel huwezi kuikacha kirahisi. Zantel =Toyota
 
Back
Top Bottom