Matatizo ya Flat Screen TV: Umeishakumbana nayo?

Matatizo ya Flat Screen TV: Umeishakumbana nayo?

Mi nina Boss 40" na ina kingamuzi cha bure ndani, toka 2013 haijawahi nisumbua, saiv kuna tv zinaitwa STARX LED zina king'amuzi ndani, nzuri sana na ni affordable price kuna jamaa yangu
Hizi TV zene king'amuzi zipo vipi? Zinafanyaje kazi na unapata channels zipi
 
Mm ni fundi TV na vifaa mbalimbali vya electronics, kiukweli flat ni TV ambazo ikikuharbikia kuna mawili kutopona kabsa na mara chache sana kupona.Zaidi kurepear kwake hadi unue mashne mpya mana zinaua sana IC ambayo kuipata ishu.

Wewe utakua fundi wa chogo.
 
jamani natafuta kioo cha lg inch 43 tafadhali ailie nacho tuwasiliane
 
Nina TCL Smart, ina mwaka sasa nchi 43 haijawahi hata kuharibika, ipo Bar, imewashwa 24/7
 
mkuu hizo story tu, mbona hata hizo za tumbo zinaharibika.
ni kwamba hizo tv chogo zinatengenezeka kirahisi tu ,ila nazo hazijambo kwa kuharibika maana matengenezo mengine ikizingua inapigwa makofi ya haja inawaka.
Hizi flat hasa zile za zamani kidogo ni more durable.
Za sasa zike high end nazo ni habari nyingine ila rough handling ndio tatizo la watumiaji wengi nina samsung smart ya 2012 mpaka sasa zaidi ya kufuta vumbi na kubadili betri za remote hakuna kingine!
 
Mm nina Star-X 32inch nmeitumia miaka miwil na nusu saiv na haijawah kunisumbua kwa namna yoyote ile!!
 
Jitahidi kupata stabilaiza nzuri inayoweza kureguleti umeme nyingi zinakufa kutokana na umeme wetu wa tia maji tia maji mara umewaka, mara umezima, mara uje ukiwa low, mara uzidi ghafla, mara uwe unayumba yumba yaani ni shida tupu. Tumia at least ya wat 1000 ambayo umeme unapoyumba yumba utaisikia nayo ikipiga kelele kujitahidi kuucontrol. Ukitumia umeme direct unaiua mapema sana. Achana na chogo teknolojia yake imeisha lakini pia okoa nafasi ile inayochukuliwa na chogo ili kuweka vitu vingine. Na kufurahia picha tumia ya nchi 32, 43 na kuendekea itapendeza zaidi. Vitivii vidogo labda uwe chumba cha kupanga lakini kama ni kwako weka screen kubwa!
 
Nadhani hizi za Mtumba ndizo zinazosumbua sana ila kama umenunua dukani, ni imara.
 
Yah zinazingua aisee, kama sio motheboard kufa basi kioo. Nina BOSS flat inch 24 hapa imenifia kiio
 
Hata nje kwa taarifa ako wanabadili kad nzma, hii ni kutokana na complications za technology ya smd.
Yan vifaa vdogo mno hutumika ambapo unahtaj mitambo mikubwa ama robots kupachka components.Na hii Ndiyo sababu hasa ya kutoleta Spea zake na badala ake kad nzma(circuit)..
Mkuu unapatikana sehemu gani?mimi nipo dar
 
Mm nina Star-X 32inch nmeitumia miaka miwil na nusu saiv na haijawah kunisumbua kwa namna yoyote ile!!
Hata mm naitumia naipenda haina makuu.naiombea kwa mungu isizingue tuu.ila naona kama TV za kuweka ukutani zinasumbua sana naona zinapata sana joto haswa kama ukuta uko jua linakuchoma .
 
Wakuu natafuta kioo cha Samsung inch 32, used au new
 
Unanunua kkoo imeandikwa Sonny Bravi, wewe unajua Sony Bravia, siku mbili limekufa unaanza kulalamika. Tuwe na tendency ya kugharamika kupata vitu genuine.
Naunga mkono hoja...nmenunua LG Genuine haijawahi hata kufikiria kusumbua huu mwaka wa 4
 
Back
Top Bottom