Matatizo ya Flat Screen TV: Umeishakumbana nayo?

Matatizo ya Flat Screen TV: Umeishakumbana nayo?

Ya kwangu Samsung led TV flat screen 48 inches iliweka mistari katikati ikawa haionyeshi picha ni sauti tu nimeiweka stoo tu nilirudisha dukani ilikua na guarantee walinizungusha Mara subiri tuitengeneze, Mara tumeagiza sijui mkanda Dubai, Mara leta 900 tuagize screen hii umepasua! Ndo maana wino unamwagika duh! Hadi nikaamua kuichukua na kuiweka store.
 
Ya kwangu Samsung led TV flat screen 48 inches iliweka mistari katikati ikawa haionyeshi picha ni sauti tu nimeiweka stoo tu nilirudisha dukani ilikua na guarantee walinizungusha Mara subiri tuitengeneze, Mara tumeagiza sijui mkanda Dubai, Mara leta 900 tuagize screen hii umepasua! Ndo maana wino unamwagika duh! Hadi nikaamua kuichukua na kuiweka store.

Hizo ndo huwa issues za samsung sijasikia mtumiaji wa lg na story km hizo
 
Mimi Nina LG flat screen ilizima gafla toka wk Jana. Najaribu kuwasha haioneshi chochote. Nimeiweka pembeni ila nimeitumia toka 2012.
Mwenye uzoefu wa tatizo hilo anisaidie
 
Ninafikiria kununua flat screem tv lakini watu wanasema zina matatizo sana kulinganisha na tv za kawaida-yaani zile za chogo( cathode ray tubes)
Madai haya yakanifanya nifanye utafiti kidogo kwenye internet na kukuta kweli watu wanasema zina matatizo mara kuzima ghafla,kutoa picha mbaya,nk. Hata nilikutana na maelezo yaliyonitisha eti "kama ulinunua flat screen tv imemaliza miaka 2 bila shida yoyote mshukuru Mungu sana"
Sasa naomba ambaye ameitumia muda refu aina hii ya tv anitoe wasiwasi kama hajapata matatizo yoyote.
Achana na chogo mzee njoo ufurahie ulimwenu wa HD (high definition) asikwambie mtu flat ni imara kuliko izo chogo mkuu, me ni muuzaji wa hivyo vifaa ninauzoefu navyo chogo zinasumbua sana kuliko flat
 
Mimi Nina LG flat screen ilizima gafla toka wk Jana. Najaribu kuwasha haioneshi chochote. Nimeiweka pembeni ila nimeitumia toka 2012.
Mwenye uzoefu wa tatizo hilo anisaidie
Imeua video card agiza kutokana model yko
 
Ninafikiria kununua flat screem tv lakini watu wanasema zina matatizo sana kulinganisha na tv za kawaida-yaani zile za chogo( cathode ray tubes)
Madai haya yakanifanya nifanye utafiti kidogo kwenye internet na kukuta kweli watu wanasema zina matatizo mara kuzima ghafla,kutoa picha mbaya,nk. Hata nilikutana na maelezo yaliyonitisha eti "kama ulinunua flat screen tv imemaliza miaka 2 bila shida yoyote mshukuru Mungu sana"
Sasa naomba ambaye ameitumia muda refu aina hii ya tv anitoe wasiwasi kama hajapata matatizo yoyote.
Nafikiri wanaosema zina matatizo wanakudangaya, mi nina Samsung LED TV toka 2013 na haijasumbua mpaka leo.
 
Ninafikiria kununua flat screem tv lakini watu wanasema zina matatizo sana kulinganisha na tv za kawaida-yaani zile za chogo( cathode ray tubes)
Madai haya yakanifanya nifanye utafiti kidogo kwenye internet na kukuta kweli watu wanasema zina matatizo mara kuzima ghafla,kutoa picha mbaya,nk. Hata nilikutana na maelezo yaliyonitisha eti "kama ulinunua flat screen tv imemaliza miaka 2 bila shida yoyote mshukuru Mungu sana"
Sasa naomba ambaye ameitumia muda refu aina hii ya tv anitoe wasiwasi kama hajapata matatizo yoyote.
Nina lg yangu nilinunua romania sijawahi juta inapiga mzigo masaa zaidi ya 12 na haijawahi nipa shida yoyote labda kama utanunua fekero
 
Mwaka wa nne huu na LG 42LW5700 mwaka wa nne huu na bado inapiga mzigo flesh kabisa..! Ila remote dogo aliizamisha kwenye maji imepiga shot kuna baadhi ya baton zimesizi.. msaada mkuu Alkelokas. Kuna uwezekano wa kutengeneza remote au ni lazima ninunue nyingine?
Remote inapona unaweza safisha na thinner ile mashne ake au tumia petrol hata spirit, km bado inagoma tumia sender za cmu kwny batan znazogoma.
 
Mimi Nina LG flat screen ilizima gafla toka wk Jana. Najaribu kuwasha haioneshi chochote. Nimeiweka pembeni ila nimeitumia toka 2012.
Mwenye uzoefu wa tatizo hilo anisaidie
Standby inawaka?
 
Unanunua kkoo imeandikwa Sonny Bravi, wewe unajua Sony Bravia, siku mbili limekufa unaanza kulalamika. Tuwe na tendency ya kugharamika kupata vitu genuine.
 
Mm ninayo ya soral INA njia mbili DC na AC hua natumia DC kwenye Umeme Wa tanesco ninayo kwa miaka 3 haina shida .
 
Ninafikiria kununua flat screem tv lakini watu wanasema zina matatizo sana kulinganisha na tv za kawaida-yaani zile za chogo( cathode ray tubes)
Madai haya yakanifanya nifanye utafiti kidogo kwenye internet na kukuta kweli watu wanasema zina matatizo mara kuzima ghafla,kutoa picha mbaya,nk. Hata nilikutana na maelezo yaliyonitisha eti "kama ulinunua flat screen tv imemaliza miaka 2 bila shida yoyote mshukuru Mungu sana"
Sasa naomba ambaye ameitumia muda refu aina hii ya tv anitoe wasiwasi kama hajapata matatizo yoyote.
Tafuta sony bravia led. Ya warrant ya 2 years mie ninayo for 3 years now haisumbui chochote. Tatizo watu wengi hupenda vitu vya bei rahis matokeo yake vina wa cost sony bravia nchi 32 huipati chini ya 6. 5k kwa kariakoo sasa utakuta mtu anakwenda kununua copy ya sony ya laki 4 mpaka 3. 5k halafu anasema kanunua sony bravia. Siku hizi wajanja wengi wamecopy majina ya sony na wameingiza bidhaa sokoni. Cha msingi uwe makini mkuu nenda kwenye maduka yenye bidhaa org usiingie kwa wapiga dili town wanakuvisha copy a tv ukijua umebeba tv utasaga meno hakikisha warrant isiyopungua two years ikizidi sawa lakini isipungue.
 
Nina Sanyo flat screen lcd hd nilinunua UK 2006 mpaka leo inadunda na wala situmii hizo wanaziita cjui power/surge breaker
 
Tatizo unauliza watu wenye Tv za chogo kuhusu flat screen hapo ndiko Shida inapoanzia.

Tegemea majibu mengi zaidi ya kutisha mara utaambiwa flat screen zinamaliza umeme, mvutano na radi....

Huwezi kulinganisha chogo na flat ata siku moja, faida za chogo ndio hasara za flat nazani umenipata vizuri bila kujali Brand waweza nunua LG, Sony. ....kuanzia inch 32, 42, 51......
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom