Matatizo ya Flat Screen TV: Umeishakumbana nayo?

Matatizo ya Flat Screen TV: Umeishakumbana nayo?

CORAL

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
2,827
Reaction score
1,858
Ninafikiria kununua flat screem tv lakini watu wanasema zina matatizo sana kulinganisha na tv za kawaida-yaani zile za chogo( cathode ray tubes)
Madai haya yakanifanya nifanye utafiti kidogo kwenye internet na kukuta kweli watu wanasema zina matatizo mara kuzima ghafla,kutoa picha mbaya,nk. Hata nilikutana na maelezo yaliyonitisha eti "kama ulinunua flat screen tv imemaliza miaka 2 bila shida yoyote mshukuru Mungu sana"
Sasa naomba ambaye ameitumia muda refu aina hii ya tv anitoe wasiwasi kama hajapata matatizo yoyote.
 
Ninafikiria kununua flat screem tv lakini watu wanasema zina matatizo sana kulinganisha na tv za kawaida-yaani zile za chogo( cathode ray tubes)
Madai haya yakanifanya nifanye utafiti kidogo kwenye internet na kukuta kweli watu wanasema zina matatizo mara kuzima ghafla,kutoa picha mbaya,nk. Hata nilikutana na maelezo yaliyonitisha eti "kama ulinunua flat screen tv imemaliza miaka 2 bila shida yoyote mshukuru Mungu sana"
Sasa naomba ambaye ameitumia muda refu aina hii ya tv anitoe wasiwasi kama hajapata matatizo yoyote.
Mimi nina sonny mwaka wa nne sasa bila tatizo lolote.
 
Natumia TV ya kawaida kabisa (flat TV)Blackstone tangu mwaka 2012 mpaka leo hii haijawahi leta tatizo lolote.
emb nipe model yako mkuu huwenda inafanana na yangu mana nina mwaka sasa haijawahi kunisumbua. nipe model ili nijihakikishie kabsa kuwa hichi nilichonacho ni mkataba
 
Tatizo unauliza watu wenye Tv za chogo kuhusu flat screen hapo ndiko Shida inapoanzia.

Tegemea majibu mengi zaidi ya kutisha mara utaambiwa flat screen zinamaliza umeme, mvutano na radi....

Huwezi kulinganisha chogo na flat ata siku moja, faida za chogo ndio hasara za flat nazani umenipata vizuri bila kujali Brand waweza nunua LG, Sony. ....kuanzia inch 32, 42, 51......
 
Mwaka wa nne huu na LG 42LW5700 mwaka wa nne huu na bado inapiga mzigo flesh kabisa..! Ila remote dogo aliizamisha kwenye maji imepiga shot kuna baadhi ya baton zimesizi.. msaada mkuu Alkelokas. Kuna uwezekano wa kutengeneza remote au ni lazima ninunue nyingine?
 
Ninafikiria kununua flat screem tv lakini watu wanasema zina matatizo sana kulinganisha na tv za kawaida-yaani zile za chogo( cathode ray tubes)
Madai haya yakanifanya nifanye utafiti kidogo kwenye internet na kukuta kweli watu wanasema zina matatizo mara kuzima ghafla,kutoa picha mbaya,nk. Hata nilikutana na maelezo yaliyonitisha eti "kama ulinunua flat screen tv imemaliza miaka 2 bila shida yoyote mshukuru Mungu sana"
Sasa naomba ambaye ameitumia muda refu aina hii ya tv anitoe wasiwasi kama hajapata matatizo yoyote.
Mi ninayo singsung ya Singapore huu mwaka wa nne.
 
Mwaka wa nne huu na LG 42LW5700 mwaka wa nne huu na bado inapiga mzigo flesh kabisa..! Ila remote dogo aliizamisha kwenye maji imepiga shot kuna baadhi ya baton zimesizi.. msaada mkuu Alkelokas. Kuna uwezekano wa kutengeneza remote au ni lazima ninunue nyingine?

Tafuta simu ya LG kuna apps unadownload unakua na remote ktk simu yako
 
Tumetumia sony bravia tangu 2010 mpaka sasa....no problem...depend on genuinity of brand and origin
 
Nimetumia lg plasma tangia 2011 mpaka 2015 nilimuuzia jamaa bado naye anakamua tu tatizo watu hawanunui vitu orginal
 
Back
Top Bottom