Zikwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 239
- 131
kiujumla wengi wetu tunatumia Android phone ingawa c 100% ila wengi wao wapo na android phones..
Hivyo nimeona ni bora kuanzisha hii mada ili kila mwenye tatizo la android phone aweze post na mwenye kujua utatuzi wake aweze kumsaidia kma moja ya kupunguza gharama zisizo za msingi kwa kupeleka kwa fundi na vitu vngine...
KARIBUNI
Hivyo nimeona ni bora kuanzisha hii mada ili kila mwenye tatizo la android phone aweze post na mwenye kujua utatuzi wake aweze kumsaidia kma moja ya kupunguza gharama zisizo za msingi kwa kupeleka kwa fundi na vitu vngine...
KARIBUNI