issakwisa6810
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 309
- 84
Unatumia simu gani mkuu?. Coz mara nyingi ni swala la ukubwa wa RAM, processor speed, na GPU! (Kwa mi navyoona)
Natumia huawei y530
Unatumia simu gani mkuu?. Coz mara nyingi ni swala la ukubwa wa RAM, processor speed, na GPU! (Kwa mi navyoona)
Mimi natumia huawei y530
Na game lenyewe lina ukubwa gani?
iyo sim yko ynywe in 512 RAM den mmhm
Hiyo lamu nindogo jamaa