pia unaweza kutafuta folder linaloitwa DCIM, . . .lifungue na utafute sub-folder linaitwa THUMBNAILS..ikilipata liselect na ulifute. . .litajitengeneza jingine hivyo usihofu.fanya hivyo na kwenye internal memory
Vipi iPhone hazijawai kuwa na matatizo kabisa.?Sijawahi kuona simu ya android isiyokuwa na matatizo.
Huawei y 300 phone book inakuja na majina mawilimiwili wakati mm nasave kwenye sim card inakuwaje halafu keyboard ukiandika kitu knakuwa underlined y?
Hicho kidudu dcim Mimi kwenye playstore nineiona dcim helper.ndio hicho au ninini ?
kiujumla wengi wetu tunatumia Android phone ingawa c 100% ila wengi wao wapo na android phones..
Hivyo nimeona ni bora kuanzisha hii mada ili kila mwenye tatizo la android phone aweze post na mwenye kujua utatuzi wake aweze kumsaidia kma moja ya kupunguza gharama zisizo za msingi kwa kupeleka kwa fundi na vitu vngine...
KARIBUNI
Kweli mkuu Android inakupa uhuru wa kumiliki na kuichezea simu yako utakavyo.Hizi Android ni nzuri sana utazitumia na matumizi mazuri yaani kupata habari (news), hata ku-download vitu, majarida, n.k. Na uweza kupitia hotspot kuunganisha wi fi kwa watu 10 ndani ya sehemu mmoja mkawa mnatumia data bundle ya mtu mmoja. Hata kama una laptop au ipad au tab, unanunua data bundle ya simu moja ya Android, basi hizo ipad, laptop hata tab mnatumia hizo data bundle.
Hata kwenye facebook unaweza ku-like vitu vingi na unakuwa unapata habari za papo hapo, breaking news.
Hicho kidudu dcim Mimi kwenye playstore nineiona dcim helper.ndio hicho au ninini ?
Vipi iPhone hazijawai kuwa na matatizo kabisa.?
ninatumia techo p 5.tatizo la hii simu nikitaka kuingia either instagram or facebook inaandika unfotenatry instagram stopped'
Hizi Android ni nzuri sana utazitumia na matumizi mazuri yaani kupata habari (news), hata ku-download vitu, majarida, n.k. Na uweza kupitia hotspot kuunganisha wi fi kwa watu 10 ndani ya sehemu mmoja mkawa mnatumia data bundle ya mtu mmoja. Hata kama una laptop au ipad au tab, unanunua data bundle ya simu moja ya Android, basi hizo ipad, laptop hata tab mnatumia hizo data bundle.
Hata kwenye facebook unaweza ku-like vitu vingi na unakuwa unapata habari za papo hapo, breaking news.
Miziki yangu kwenye music player imekuwa duplicated jamani jinsi yakuondoka hizi copy zilizojiongea coz moja ina play nyingine haiplay sijui inasababishwa na nini.
Plzz mwenye kujua soln.
Huawei y 300 phone book inakuja na majina mawilimiwili wakati mm nasave kwenye sim card inakuwaje halafu keyboard ukiandika kitu knakuwa underlined y?
Sijawahi kuona simu ya android isiyokuwa na matatizo.